Simiyu: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

siasa ni sayansi ndrugu zango πŸ’
Ndiyo maana ktk nchi iko inayoitwa "serikali". Kazi ya serikali kuiwezesha hii sayansi itende kazi kwa manufaa ya wananchi
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine πŸ’
Serikali ikishindwa kuifanya hiyo uliyoita "sayansi" hapo☝🏻☝🏻 juu kutengeneza mazingira bora ya watu kufanya kazi zao kwa manufaa yao:

Mathalani ni kufanya kazi kwa bidii ili watu wanufaike na bidii yao ya kazi ni na kufanya maisha yaende kwa urahisi inategemea na haya yanayopaswa kufanywa na serikali;

√ Uwezo wa nishati ya umeme wa uhakika na wa bei rahisi
√ Uwepo wa miundombinu bora ya usafiri na usafirishaji
√ Uwepo wa sera bora za kilimo na bei za mazao ya kilimo kwa wakulima..
√ Uwepo wa mazingira salama na rafiki ya kibishara..
√ Uwepo wa huduma bora za kijamii mf. afya, elimu, kisheria nk nk
√ Uwepo wa sera nzuri na rafiki za kodi
√ Uwepo wa mifumo imara na madhubuti kudhibiti rushwa na ufisadi serikalini.
√ Uwepo wa mfumo thabiti wa kisheria na utoaji haki nk nk

Sasa niambie jukumu la hayo yote ni la nani? Sio la serikali? Vipi inapokuwa imeonekana iwaziwazi kuwa imeshindwa kutekeleza wajibu wake?

JIBU NI: wananchi kuiwajibisha serikali hiyo kwa namna njia zozote halali..!!

Ndo kusema kuwa, kufanya kazi kwa bidii bila ubora wa mazingira hayo hapo juu ni kazi bure ndugu Tlaatlaah

Na kwa hili, binafsi nakuona wewe kama mtu mjinga fulani hivi usiyejua jukumu kuu la serikali yoyote ile. Maana ungekuwa unajua usingeandika ulichokiandika hapa..!

Na sikiliza bwana.

Kufanya kazi kwa bidii haimsadii mtu kama anachopata kinaishia kwenye mifuko iliyotoboka kwa kutobolewa na mifumo ya rushwa na ufisadi wa viongozi wa serikali, kodi na tozo onevu kwenye huduma (simu, fedha, umeme, usafiri nk) na bidhaa (petrol nk) kiasi cha kila tunachopata kwa kufanya kwetu kazi kwa bidii kuchukuliwa na serikali ya kifisadi na kutumiwa na wao pekee yao kifisadi..

Hapo ndipo ulipo ugomvi wa wananchi na serikali yao. Hatuitaki serikali iliyojiweka yenyewe madarakani...

Tunataka iwajibike kwa aidha kukaa chini na kubadilika au iondoke ili kuruhusu ije serikali nyingi sikivu na inayowajibika kwa wananchi..

Kiini cha ugomvi upo hapa. πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»

Kwamba, tunaandamana mioyoni na waziwazi ili serikali itimize wajibu wake na kama hii iliyopo imeshindwa, basi iondoke ilI kupisha serikali nyingine. Hili haliwezi kusubiri au kwenda kwa utaratibu wa kawaida.

Ni kwa kutumia shinikizo la umma (public pressure) ili kulazimisha mambo kutokea..
it can't be and it is useless....
It can't be useful to a manipulative and ignorant person like you..!
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe πŸ’
Mjinga wewe.

Hujui usemalo wala ujualo because of your wickedness ..

Na kwa sababu labda wewe unakula vya kifisadi na wizi halafu unabwatuka hapa kuita wenzio "wavivu"

Shame on you..
 
Ndiyo maana ktk nchi iko inayoitwa "serikali". Kazi ya serikali kuiwezesha hii sayansi itende kazi kwa manufaa ya wananchi

Serikali ikishindwa kuifanya hiyo uliyoita "sayansi" hapo☝🏻☝🏻 juu kutengeneza mazingira bora ya watu kufanya kazi zao kwa manufaa yao, hiyo bidii yao ya kazi ni kazi bure ndugu Tlaatlaah

Ni kama vile wewe ni mjinga fulani hivi usiyejua jukumu kuu la serikali yoyote ile. Maana ungekuwa unajua usingeandika ulichokiandika hapa..!

Sikiliza bwana.

Kufanya kazi kwa bidii haimsadii mtu kama anachopata kinaishia kwenye mifuko iliyotoboka kwa kutobolewa na mifumo ya rushwa na ufisadi wa viongozi wa serikali, kodi na tozo onevu kwenye huduma (simu, fedha, umeme, usafiri nk) na bidhaa (petrol nk) kiasi cha kila tunachopata kwa kufanya kwetu kazi kwa bidii kuchukuliwa na serikali ya kifisadi na kutumiwa na wao pekee yao kifisadi..

Hapo ndipo ulipo ugomvi wa wananchi na serikali yao. Hatuitaki serikali iliyojiweka yenyewe madarakani...

Tunataka iwajibike kwa aidha kukaa chini na kubadilika au iondoke ili kuruhusu ije serikali nyingi sikivu na inayowajibika kwa wananchi..

Kiini cha ugomvi upo hapa. πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»

Kwamba, tunaandamana mioyoni na waziwazi ili serikali itimize wajibu wake na kama hii iliyopo imeshindwa, basi iondoke ilI kupisha serikali nyingine. Hili haliwezi kusubiri au kwenda kwa utaratibu wa kawaida.

Ni kwa kutumia shinikizo la umma (public pressure) ili kulazimisha mambo kutokea..

It can't be useful to a manipulative and ignorant person like you..!

Mjinga wewe.

Hujui usemalo wala ujualo because of your wickedness ..

Na kwa sababu labda wewe unakula vya kifisadi na wizi halafu unabwatuka hapa kuita wenzio "wavivu"

Shame on you..
ndio mawazo na mtazamo wa wavivu yalivyo eti kufanya kazi kwa bidii hakusaidii mtu 🀣

kwahiyo ukifanya maandamano kwa bidii ndio utakua umesaidika?

ndio maana wenye kazi na majukumu yao wameyapuuza tu, mmbaki wavivu wennyewe, na hadi chairman wenu anawaambia kwamba mmekua laini zaidi ya maini 🀣

Jukumu la serikali ni bayana linawanufaisha hadi ninyi wavivu kwa kuandamana πŸ’

Mazingira rafiki, ya amani na Utulivu, ulinzi na usalama wa watu, mali na kazi zao ni wa uhakika.

Yaani chochote upendacho kukifanya Tanzania, mazingira ni mazuri, hali ya hewa ni njema, lakini mtu mvivu kamwe haiwezi kuyaona haya πŸ’

na hilo ni Tatizo lako binafsi. hapana kusingizia mtu. Majirani wetu walijaribu kuandamana na masufuria vichwani mpaka ikulu kudai unga na hawakufua dafu, na sasa wamerudi mashambani wanafurahia bidii zao πŸ’

by the way mihemko sio deal, fanya kaz kwa bidii ufurahie jasho lako bila stress.....

Otherwise utalalamika sana na ofcoz utatukana mno, and nothing will change until uache uvivu πŸ’
 
Kwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na CHADEMA, leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu, ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania.

View attachment 2972494

Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri.

Usiondoke JF

==========
ya jana mmefanikiwa nini au ndiyo kama kawaida yenu mmetembea mkakusanyika mkaongea mkaenda nyumbani kulala? hahaaaa kazi mnayo
 
ndio mawazo na mtazamo wa wavivu yalivyo eti kufanya kazi kwa bidii hakusaidii mtu 🀣
Mjinga wewe, hujaelewa bado..

Bidii yako itakusaidia nini kama unachokipata pembeni yako hapo wapo wezi (mifumo ya wizi na kifisadi ya kiserikali) inayosubiri kuchukua chote ulichopata kwa kufanya kazi zako kwa bidii na wewe kuachwa uchi???
kwahiyo ukifanya maandamano kwa bidii ndio utakua umesaidika?
Ndio maana mimi nakuita "mjinga" kwa sababu una - argue mambo pasipokuwa na ufahamu na uelewa sahihi..

Kwanza lazima uelewe kuwa, maandamano ni njia halali kisheria na ya kidemokrasia kuwataka wezi wa matunda ya jasho la kazi zetu tunazofanya kwa bidii kuondoka au kuacha kutuibia. Kuwafanya wawajibike na watengeneze utaratibu ulio wa HAKI wa kugawana keki ya taifa letu. La wanajivutavuta, basi waondoke na kupisha wengine kutenda jukumu hilo.!
============================================

HEBU SOMA MFANO HUUπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»LABDA UTAELEWA:

By the way, naashumu kuwa wewe ni mkristo na huwa unasoma biblia. Sasa sikiliza, KWAMBA;

Wana wa Israel waliishi maisha ya kuonewa na yalitopea umasikini mwingi huko Misri licha ya kwamba walikuwa wakifanya kazi kwa bidii na kupata matunda ya kazi zao..

Lakini, kila walichopata kilichukuliwa na serikali ya Farao wa Misri kwa kutumia mifumo onevu ya kodi na tozo huku wao wakuachwa watupu na umasikini wao.

Hii hali iliwashinda..

Walitumia njia za kawaida kuitaka serikali ya Misri chini ya Farao kubadilisha mifumo ya kikodi na kugawana rasrimali za nchi kwa usawa, hawakusikilizwa..

Hali zao maisha ziliendelea kuwa mbaya. Walibadili njia na badala wakaja na njia ya shinikizo la umma kama vile; maandamano, maombi na kumlilia Mungu aingilie kati hali na kilio chao cha muda mrefu..

Mungu alisikia na akawasaidia kutoka kwenye hali ya utumwa na kuonewa. Mambo yakaboreka na serikali yote ya Farao ilifutiliwa mbali na hakikubaki chochote..

Ulivyo mbishi na mgumu wa kujifunza, unaweza usiulewe mfano na uhusiano wake na kinachoendelea sasa Tanganyika..
 
Mjinga wewe, hujaelewa bado..

Bidii yako itakusaidia nini kama unachokipata pembeni yako hapo wapo wezi (mifumo ya wizi na kifisadi ya kiserikali) inayosubiri kuchukua chote ulichopata kwa kufanya kazi zako kwa bidii na wewe kuachwa uchi???

Ndio maana mimi nakuita "mjinga" kwa sababu una - argue mambo pasipokuwa na ufahamu na uelewa sahihi..

Kwanza lazima uelewe kuwa, maandamano ni njia halali kisheria na ya kidemokrasia kuwataka wezi wa matunda ya jasho la kazi zetu tunazofanya kwa bidii kuondoka au kuacha kutuibia. Kuwafanya wawajibike na watengeneze utaratibu ulio wa HAKI wa kugawana keki ya taifa letu. La wanajivutavuta, basi waondoke na kupisha wengine kutenda jukumu hilo.!
============================================

HEBU SOMA MFANO HUUπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»LABDA UTAELEWA:

By the way, naashumu kuwa wewe ni mkristo na huwa unasoma biblia. Sasa sikiliza, KWAMBA;

Wana wa Israel waliishi maisha ya kuonewa na yalitopea umasikini mwingi huko Misri licha ya kwamba walikuwa wakifanya kazi kwa bidii na kupata matunda ya kazi zao..

Lakini, kila walichopata kilichukuliwa na serikali ya Farao wa Misri kwa kutumia mifumo onevu ya kodi na tozo huku wao wakuachwa watupu na umasikini wao.

Hii hali iliwashinda..

Walitumia njia za kawaida kuitaka serikali ya Misri chini ya Farao kubadilisha mifumo ya kikodi na kugawana rasrimali za nchi kwa usawa, hawakusikilizwa..

Hali zao maisha ziliendelea kuwa mbaya. Walibadili njia na badala wakaja na njia ya shinikizo la umma kama vile; maandamano, maombi na kumlilia Mungu aingilie kati hali na kilio chao cha muda mrefu..

Mungu alisikia na akawasaidia kutoka kwenye hali ya utumwa na kuonewa. Mambo yakaboreka na serikali yote ya Farao ilifutiliwa mbali na hakikubaki chochote..

Ulivyo mbishi na mgumu wa kujifunza, unaweza usiulewe mfano na uhusiano wake na kinachoendelea sasa Tanganyika..
tangu lini mvivu akaeleweka kama sio ubishi na mihemko ya kukata tamaa na kulazimisha wenye bidii wawe wavivu kama yeye πŸ’

Nasisitiza tena kwamba,
jukumu la kupambana na ugumu wa maisha ni lako mwenyewe binafsi, upende usipende πŸ’

ujinga wa mtu unakoma pale tu anapotambua na kuelewa kwamba hapa naingizwa chaka. Mathalani, maandamano yamepuuzwa na watu wenye uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya nani mwenye jukumu hasa la kupambana na ugumu wa maisha πŸ’

wajinga na wavivu wachache, singependa kukuita wewe mjinga kwasabb umezengumza mfano moja wa kibiblia na kwa hivyo inawezekana wew umetekwa na kufungwa na nguvu za giza kwenye ufahamu ndio maana upo kwenye maandamano yasio na tija πŸ’

hiyo,
nitakuombea tu Baraka na Neema za Mungu na itakwishwa na utarudi kwenye normal sense zako πŸ’

vinginevyo wengi wametekwa kwasabb ya uvivu, ujinga na tamaa zao kutamani maisha mepesi bila kufanya kazi kwa bidii....

and that is wrong πŸ’
 
siasa ni sayansi ndrugu zango πŸ’

dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine πŸ’

it can't be and it is useless....

uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe πŸ’
Wizi wa kura ni KAZI pia?
 
Mjinga wewe, hujaelewa bado..

Bidii yako itakusaidia nini kama unachokipata pembeni yako hapo wapo wezi (mifumo ya wizi na kifisadi ya kiserikali) inayosubiri kuchukua chote ulichopata kwa kufanya kazi zako kwa bidii na wewe kuachwa uchi???

Ndio maana mimi nakuita "mjinga" kwa sababu una - argue mambo pasipokuwa na ufahamu na uelewa sahihi..

Kwanza lazima uelewe kuwa, maandamano ni njia halali kisheria na ya kidemokrasia kuwataka wezi wa matunda ya jasho la kazi zetu tunazofanya kwa bidii kuondoka au kuacha kutuibia. Kuwafanya wawajibike na watengeneze utaratibu ulio wa HAKI wa kugawana keki ya taifa letu. La wanajivutavuta, basi waondoke na kupisha wengine kutenda jukumu hilo.!
============================================

HEBU SOMA MFANO HUUπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»LABDA UTAELEWA:

By the way, naashumu kuwa wewe ni mkristo na huwa unasoma biblia. Sasa sikiliza, KWAMBA;

Wana wa Israel waliishi maisha ya kuonewa na yalitopea umasikini mwingi huko Misri licha ya kwamba walikuwa wakifanya kazi kwa bidii na kupata matunda ya kazi zao..

Lakini, kila walichopata kilichukuliwa na serikali ya Farao wa Misri kwa kutumia mifumo onevu ya kodi na tozo huku wao wakuachwa watupu na umasikini wao.

Hii hali iliwashinda..

Walitumia njia za kawaida kuitaka serikali ya Misri chini ya Farao kubadilisha mifumo ya kikodi na kugawana rasrimali za nchi kwa usawa, hawakusikilizwa..

Hali zao maisha ziliendelea kuwa mbaya. Walibadili njia na badala wakaja na njia ya shinikizo la umma kama vile; maandamano, maombi na kumlilia Mungu aingilie kati hali na kilio chao cha muda mrefu..

Mungu alisikia na akawasaidia kutoka kwenye hali ya utumwa na kuonewa. Mambo yakaboreka na serikali yote ya Farao ilifutiliwa mbali na hakikubaki chochote..

Ulivyo mbishi na mgumu wa kujifunza, unaweza usiulewe mfano na uhusiano wake na kinachoendelea sasa Tanganyika..
Usihangaike na huyo kijana ni kichaa , aliwahi kugombea ubunge kupitia ccm akiwa na elfu 50 tu mfukoni , katika chama kinachoongoza kwa Rushwa duniani unawezaje kuchukua fomu na hiyo hela ?
 
Usihangaike na huyo kijana ni kichaa , aliwahi kugombea ubunge kupitia ccm akiwa na elfu 50 tu mfukoni , katika chama kinachoongoza kwa Rushwa duniani unawezaje kuchukua fomu na hiyo hela ?
mueleze vizuri tena kinagaubaga, kwamba kwa Neema na Baraka za Mungu ndio maana mpaka sasa, niko pamoja na wanainchi tunasukuma hii kazi ya maendeleo kwa bidii sana, tumekubaliana tena, na 2025, tunaendelea pamoja kukamilisha yale machache amabayo tumepanga pamoja :pedroP:

so,
tupo pamoja na tunasonga mbele.

by the way, ulimalizia kusoma sehemu ya 2, 3 na ya 4 ambozo ni muhumu sana kwako na kwa wengine, hata kama bado unaishi kwa wazazi wako na ni mtu mzima sasa?:BASED:
 
Screenshot_2024-04-24-14-27-51-1.png
 
Back
Top Bottom