Simiyu: Mkuu wa Wilaya ya Busega: Nimepigwa mawe wakati wa Maandamano, tumewakamata Watu 108

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,452
13,070
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
 
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Hao 108 ndio watawakilisha wenzao mahakamani.
 
Kuna msemo unasemaga no sweet without sweat,kama unataka mabadiriko lazima kuyatafta kwa nguvu maana demokrasia imeshindwa.

Hapo anasema tangu afike huko hajawahi kuletewa kesi ya kupotea kwa mtoto? Tuseme hao watu wamerukwa na akili mpaka wafanye fujo zisizo na tijan?
Yeye kama district commissioner lazima awajibike siyo kila siku anakuja na ngonjera za kukanusha wakati watoto wanapotea,

Kama umeletewa hizo kesi mara nyingi lakini hakuna la maana umefanya kwanini wasichukue Sheria?
 
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Aliyekuwa akirusha hilo jiwe hakuwa na shabaha ya uhakika?
 
Back
Top Bottom