THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,785
- 3,379
Habar mwanajukwaa
Ukikaa na baadhi ya mashabiki wa simba wanakwambia jana wamecheza mpira hasa ile dakika za mwanzon kabla ya kula chuma 2.
Ila pia wanasema wamecheza sana Mpira Second half na wanaamini ni bahat tu haikua kwao ila wengeweza kuchomoa zote na kushinda au game kuisha Sare.
Ila Master kuna kauli kaitoa ukiifikiria inawaambia simba kua Jana Yanga hawakua Serious na Match sana kuna mda aliamua wachezaji wacheze kama mazoezi hizi Dharau sana.😂
Yani ina maana Simba walikua wametoa ubora wao wote ila Yanga wakawa kama wanapasha Misuli tu Avic ila wakashindwa kuwafunga?
Kweli Simba mna Team Mbovu sana Msimu huu.
#Jumapili Njema
Ukikaa na baadhi ya mashabiki wa simba wanakwambia jana wamecheza mpira hasa ile dakika za mwanzon kabla ya kula chuma 2.
Ila pia wanasema wamecheza sana Mpira Second half na wanaamini ni bahat tu haikua kwao ila wengeweza kuchomoa zote na kushinda au game kuisha Sare.
Ila Master kuna kauli kaitoa ukiifikiria inawaambia simba kua Jana Yanga hawakua Serious na Match sana kuna mda aliamua wachezaji wacheze kama mazoezi hizi Dharau sana.😂
Yani ina maana Simba walikua wametoa ubora wao wote ila Yanga wakawa kama wanapasha Misuli tu Avic ila wakashindwa kuwafunga?
Kweli Simba mna Team Mbovu sana Msimu huu.
#Jumapili Njema