bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Simba ni kama WAKURYA wababe wakiwa TARIME wakija dar wanauza mayai. Ile ni aibu KUBWA haijawahi kutokea kwa kilichofanyika sinto kaa kuwasamehe hawa watu bora niwe shabiki hata Wa netboll....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app