Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,495
- 3,196
March 7, tunachukua point 3 Vs Vipers pale kwa mkapa. Tutafikisha point 6. Hiyo siku kama Horoya watajitahidi sana, watavuna point 1 Vs Raja. Watafikisha point 5.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.
March 17, Horoya kwa mkapa hatoki. Tunavuna kwake point 3. Tutakuwa na jumla ya point 9.
March 23 najua tutapoteza kwa Raja, ila hata kama Horoya atachukua point 3 kwa Vipers, bado atakuwa amefikisha point 8.