chama konokono
Member
- Apr 27, 2023
- 93
- 184
Huu ni mtego, Hawa utopolo hawana nia yoyote yakusajili wachezaji wa Simba.
Wanachokifanya ni kuupanikisha uongozi wa Simba ili ufanye makosa tena na kuwapa mikataba minono wachezaji mizigo kama kina chama, kibu d na saido..
Timu haijatimiza malengo, badala wachezaji wakatwe mishahara kwa kucheza chini ya kiwango eti yenyewe yanadai nyongeza ya mishahara na signing fee za kufuru.
Nitawadharau sana hawa kina Try again km wataongeza mshahara kwa hawa mabumunda kina kibu na chama..
Simba nguvu moja..
Wanachokifanya ni kuupanikisha uongozi wa Simba ili ufanye makosa tena na kuwapa mikataba minono wachezaji mizigo kama kina chama, kibu d na saido..
Timu haijatimiza malengo, badala wachezaji wakatwe mishahara kwa kucheza chini ya kiwango eti yenyewe yanadai nyongeza ya mishahara na signing fee za kufuru.
Nitawadharau sana hawa kina Try again km wataongeza mshahara kwa hawa mabumunda kina kibu na chama..
Simba nguvu moja..