Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 8,556
- 18,063
Sawa Mwakikundi...Mapema sana jamaa wanarudi hapa na kukaa bongo tuendelee kutafutana uchawi. Hawana team ya kushinda kule Misri. Hawana.
Hii Simba ya akina Mikwara? Akina Agahuo? Akina nani sijui? Nipo hapa. Matches mbili tu chali. Wanarudi kuja sugua magaga nasisi hapa bongo.
Team ya kufika mbali ilikuwa Yanga tu. Basi. Ndo timu pekee Tanzania ya kimafaifa inayoweza fanya vizuri. Ndo maana mna hesabu tano tano dose kwa kila kimeo tunachokutana nacho.
Wanaume tupo nyie wanawake sasa sijui mtapata nini. Maana naona unatutaja tu wanaume.Nini ban, weka rehani hata kifufumbwa hicho wanaume wakishughulikie
NA NDIO MAANA IMEFIKA,MBALI KABISA,WATU WANASEMAGA AKILI NI UBONGO LAKINI MI NASEMA USIPITUMIA MACHO VIZURI UBONGO SI LOLOTE.Mapema sana jamaa wanarudi hapa na kukaa bongo tuendelee kutafutana uchawi. Hawana team ya kushinda kule Misri. Hawana.
Hii Simba ya akina Mikwara? Akina Agahuo? Akina nani sijui? Nipo hapa. Matches mbili tu chali. Wanarudi kuja sugua magaga nasisi hapa bongo.
Team ya kufika mbali ilikuwa Yanga tu. Basi. Ndo timu pekee Tanzania ya kimafaifa inayoweza fanya vizuri. Ndo maana mna hesabu tano tano dose kwa kila kimeo tunachokutana nacho.
We nani kakuambia hamuyatakiNanii kawaambia tunahitaji hayo unayoyasema...
Tunzeni energy mzipambanie familia zenu
Muulize aliekwambia tunayatakaWe nani kakuambia hamuyataki
We kama nani huyatakiMuulize aliekwambia tunayataka
Kumbe mnasugua magaga!!🙄Matches mbili tu chali. Wanarudi kuja sugua magaga nasisi hapa bongo.
Unaandika huku unagugumia kwa maumivu, wee huyo mwarabu kakutoa ndukii kwako.Hiyo timu kwenye ardhi ya Mwarabu ni mlenda tu. Walau wakicheza Bongo huwa wanajitahidi kushinda.
Na wewe kama nani unaniuliza maswali ya kipolisi...We kama nani huyataki
Hajajibu maana umemchoma kwny korodani nasikia linauma balaaa....Unaandika huku unagugumia kwa maumivu, wee huyo mwarabu kakutoa ndukii kwako.
Hujisikii uchungu? Lol
mangunguNa wewe kama nani unaniuliza maswali ya kipolisi...
Unaandika huku unagugumia kwa maumivu, wee huyo mwarabu kakutoa ndukii kwako.
Hujisikii uchungu? Lol