Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 8,357
- 17,714
Mapema sana jamaa wanarudi hapa na kukaa bongo tuendelee kutafutana uchawi. Hawana team ya kushinda kule Misri. Hawana.
Hii Simba ya akina Mikwara? Akina Agahuo? Akina nani sijui? Nipo hapa. Matches mbili tu chali. Wanarudi kuja sugua magaga nasisi hapa bongo.
Team ya kufika mbali ilikuwa Yanga tu. Basi. Ndo timu pekee Tanzania ya kimafaifa inayoweza fanya vizuri. Ndo maana mna hesabu tano tano dose kwa kila kimeo tunachokutana nacho.
Hii Simba ya akina Mikwara? Akina Agahuo? Akina nani sijui? Nipo hapa. Matches mbili tu chali. Wanarudi kuja sugua magaga nasisi hapa bongo.
Team ya kufika mbali ilikuwa Yanga tu. Basi. Ndo timu pekee Tanzania ya kimafaifa inayoweza fanya vizuri. Ndo maana mna hesabu tano tano dose kwa kila kimeo tunachokutana nacho.