Simba hamtoki mechi ya Toto Africans

Simba leo ilikuwa inakufa, shukran kwa golikipa na mwamuz. Afu mnataka tufuzu kombe la dunia kwa upuuzi huuu
 
Licha ya ushindi wa leo wa kununua baadhi ya wachezaji wa mbao, mechi yenu dhidi ya Toto Africans wana kishamapanda hamtochomoka kwani nina uhakika mtalala kwa mabao 2-0.

Siku hiyo hamtopata hata goli la offside achilia mbali goli la kununua na ndio itakuwa tiketi rasmi ya Ubingwa kwa Yanga.
Unaota nn mkuu? Jifinye kwanza tuone
 
Simba leo ilikuwa inakufa, shukran kwa golikipa na mwamuz. Afu mnataka tufuzu kombe la dunia kwa upuuzi huuu
Hao wote walikosa nini labda? Acha fitina utakuja kuwa mchawi usipokaa sawa... Wachezaji wa mbao waliona wameshinda wakarudi kupaki bus, kila muda wanalala hovyohovyo tu na ujue zile dk ilipaswa ziwe 10 na kuendelea.. Punguza mihemko utaelewa tu
 
Licha ya ushindi wa leo wa kununua baadhi ya wachezaji wa mbao, mechi yenu dhidi ya Toto Africans wana kishamapanda hamtochomoka kwani nina uhakika mtalala kwa mabao 2-0.

Siku hiyo hamtopata hata goli la offside achilia mbali goli la kununua na ndio itakuwa tiketi rasmi ya Ubingwa kwa Yanga.


Unadai mechi ya Mbao ilinunuliwa halafu unadai tena Simba itafungwa na Toto 2-0. Tukisema na wewe unanunua wachezaji wa Simba ili ifungwe tutakosea kweli?
 
Yanga buana, hivo vitoto vyenu yaonesha mmeshavinyeshwa steroid cocktail kwa ajili ya simba, sisi hapo ni kama tunacheza na yanga ma tukionaga kikani, njano au nyeusi huwa tuna hasira sana na hizi rangi hasa kijani na njano, hatupendagi kabisa hizi rangi hivyo ni kurarua tu jezi!!
Tupe matokeo.
 
Back
Top Bottom