Sikutegemea kuona maji shida kiasi hiki dodoma makao makuu!

neno ni upanga

JF-Expert Member
Jun 28, 2022
494
1,656
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Badala wapeleke maji wamepeleka viwanja vya mpira😀😀😀
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Miji yenye mitazamo ya kisiasa ni janga.
 
Lucas mshamba na mwenzake wakiona hii mada watakwambia mama kaleta maji
 
kwani Birthday ya chama ilikuwa wapi, wale vijana wakiojipta matope maji waliyatoa wapi?
 
Thread Yako Hii Itakuletea Furushi La Matusi Tele
Umesema Ukweli Ila Wenyewe CCM, CHAWA Wapo Njiani Wanarudi Toka Tanga.
Ujiandae Kuoga Kashfa, Dharau, Kebehi Wenyewe Wanatamba Eti Tanzania Ina Viwanda Vingi Sana
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Sera ya Magufuli ilikuwa kuligeuza jangwa la Dodoma kijani.

Kavuta maji ziwa Viktoria kayafikisha hadi Igunga.

Lengo ilikuwa ni kuyapitisha Singida hadi Dodoma.

Baada ya kutokea yaliyotokea ndiyo basi tena.

Nadhani Dodoma kufanywa makao makuu kunapigwa vita kuanzia na Rais mwenyewe.

Tokea Mwanza yamepita mikoa miwili, ulikuwa imebakia mkoa mmoja yaingie Ddm.

Watawala wangelikuwa na uchungu wa maendeleo kwa sera ya maji ya mtamgulizi wao, sasa hivi shida ya maji ingelibakia ni historia.
 
Mkuu bora Dodoma, Dar hali ni tete, sijui tumekosea wapi sisi wa TZwa Dar! hili joto sasa ndio kabisa.

Nimemuona Msigwa anongea kujenga ARENA pale KAWE, Dah, ninakubaliana nae! lakini viongozi wadhamirie kutatua tatizo la maji dar, hali ni mbaya.

Dar ndio jicho la nchi lakini kuna uhaba wa maji mkubwa sana sijapata kuona kwa karne hii.
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Ili kuitendea haki mada yako, tuambie eneo gani la Dodoma. Area A, C, D, E, Makole, Majengo, msalato Iringa road, Kisasa au ? Dodoma ninaambiwa na mwenyeji wangu ni mji wenye maji ya kutosha japo ya chumvi.
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Dodoma kame,mara ya mwisho kuwa hapo November, hapakua na shida ya maji,labda washauri sehemu ya k
 
Habari wakuu! Yaani kuna vyitu vingine vinatafakarisha sana! Dodoma ni makao makuu ya nchi lakini mpaka leo maji ni shida yaani ni mgao na siku za mgao huo maji yanatoka kwa matone jamani sehemu zingine ndo kabisa hayatoki! Nafikiri kama taifa hatuko serious! Hizo hela za magoli tuzielekeze huku! Makao makuu sio ya kukosa maji jamani! CCM kwa hili mjitafakari
Dodoma ni semi desert, maji ni kipengele mzee baba. Karibu dodoma
 
Back
Top Bottom