Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,104
- 2,550
falsafa yake ni bomoabomoa na fukuzafukuza!
copy and paste ya ZZK wewe ndani ya siku 100 umefanya nini?Siku 100 za mambo meengi ambayo mwisho wa siku nothing has changed..
Bado IPTL inalipwa bilioni 8 kila mwezi licha ya mahakama kuwahi kusema ifilisiwe
Bado Konyagi wanalipa kodi kuliko vodacom
bado kibuku wanalipa kodi kuliko kampuni zote zinazoiuzia TANESCO umeme
Bado miji mingi michafu
bado wagonjwa wanalala chini mahospitalini nchi nzima
bado wanafunzi wanakaa chini shule nyingi nchi nzima
bado katiba mpya rasimu ya Warioba hakuna mabadiliko
bado mawaziri hadi wakuu wa wilaya wanaendesha mashangingi
Seating allowance kwa wabunge bado ipo
Andrew Chenge ni mwenyekiti wa bunge
Mwakyemba na Muhongo ni mawaziri katika baraza la mawaziri
Wakati maisha yanasogea mbele wewe utabakia na akili hizo hizo negative. Unapima kazi ya mtu kwa kuangalia yanayokuzunguka wewe na ndugu zako. Kuna maisha yanayoendelea mbali kabisa na mlango wa nyumba yako.mimi nikiwa mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kujielewa. jpm ajafanya lolote na hataweza maana ni zao la mfumo ule ule wa rushwa na ufisadi
Ulikuwa mbele ya mudamimi nikiwa mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kujielewa. jpm ajafanya lolote na hataweza maana ni zao la mfumo ule ule wa rushwa na ufisadi