NI TUMEFAHAMIANA WIKI HII, SIKU YA KWANZA TUMEKUNYWA SODA UKASEMA HUTAAGIZA CHAKULA UMESHIBA, NIKAKUAMBIA CHUKUA HII 5,000 UWEKE VOCHA. LEO HII, SIKU MBILI BAADAYE UNANITUMIA MESSAGE;
"Baby, tarehe 25 mwenye nyumba wetu anakuja kuchukua kodi sasa mimi kuna hela fulani niliipunguza kama elf. 50,000 alf cna means ya kureplace please naomba unisaidie coz mwenye nyumba wetu ni mkorofi sana. Jamani baby i mic you, nina hamu ya kukuona jamani am so hot baby, njoo nikupe mahaba baby, i love you baby...."
POLE SANA, HIYO 5,000 NILIYOKUPA JUZI ILIKUWA JARIBIO LA KWANZA NA UMESHAFELI MAPEMAAAAAAA. HAPO BADO HUJANIPA PAPUCHI, UKINIPA ITAKUWAJE? CHUONI KWENU KUNA BOOM AU NDO IMEKATA? ULIJUAJE KAMA UTAKUTANA NAMI? USINGENIFAHAMU UNGEMWOMBA NANI? INAONYESHA HATA STYLES ZA KUMWINGIA MWANAUME HUJUI, MAMA WEEEE, KWA HERI.
Mwambie huyo hajui kwmb akufukuzae akwambii toka.We ujajua wewe, mwanamke mwingine hana nia ya vijisent vyako ila anatafuta njia ya kukuacha kidigitali