G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,863
- 36,908
Shida yako unasukumwa na mahaba binafsi. Nipe hoja tano tu ni kwanini Mbowe aendelee uwa mwenyekiti. Nipe sera zake tano tu unazozijua! Mimi siendeshwi na ushabiki binafsi, naamini katika ukweli na uhalisia.Jinga la nguvu ni wewe. Umejibu hoja ya post yake? Jibu hoja je Lisu aliwahi kusema hana ndoto za kuwa Mwenyekiti? If yes, anachofanya sas, ni mtu wa kumwamini? Ndiyo hoja ijibu
Kama unahisi Mbowe ni mtu sahihi kwa nyakati hizi kuongoza Chadema basi umefeli pakubwa mno. Pia kama unamuamini huyo kilaza mwenye post basi fuatilia post zake humu jukwaani.