Hivi hujui kuwa shetani alikuwa malaika mkuu? Kwahiyo kwa unataka tuendelee kumpenda shetani kwasabb tu hapo awali alikuwa malaika mkuu?
Jamaa wanavyobadilika badilika ni balaa.Ndiyo hamjui baba yake hata leo tunasema.
Ila ameunda tume iliyobaini ujambazi wa kutumia bunduki uliofanywa na Bashite.
Usishangae Mbowe akampa Nape Bendera ya Chama 2020
Kwani umesahau kutoka Lowasa mwizi ( fisadi) hadi mgombea urais asie na mshindani? Hii ndio siasa ya bongo. Kikwete hili hakulijua lilimuumiza sana kichwa hadi akasema hajui kwa nini sisi ni masikini. Sasa naamini amejua.Siasa hazina akili ndo maana sitaki kufuata siasa. Nape huyu ametukanwa sana mwaka juzi na mwaka jana katika kutekeleza kazi zake.
Najua wengi tunapenda maneno yanayotufurahisha zaidi ya kufikirisha.
Huyo ndo Nape ambaye amekata fitina ya kutukanwa na kuwa shujaa na kusifiwa na wapinzani wa CCM?
Sitaki siasa.
Kwani umesahau kutoka Lowasa mwizi ( fisadi) hadi mgombea urais asie na mshindani? Hii ndio siasa ya bongo. Kikwete hili hakulijua lilimuumiza sana kichwa hadi akasema hajui kwa nini sisi ni masikini. Sasa naamini amejua.Siasa hazina akili ndo maana sitaki kufuata siasa. Nape huyu ametukanwa sana mwaka juzi na mwaka jana katika kutekeleza kazi zake.
Najua wengi tunapenda maneno yanayotufurahisha zaidi ya kufikirisha.
Huyo ndo Nape ambaye amekata fitina ya kutukanwa na kuwa shujaa na kusifiwa na wapinzani wa CCM?
Sitaki siasa.
Siasa hazina akili ndo maana sitaki kufuata siasa. Nape huyu ametukanwa sana mwaka juzi na mwaka jana katika kutekeleza kazi zake.
Najua wengi tunapenda maneno yanayotufurahisha zaidi ya kufikirisha.
Huyo ndo Nape ambaye amekata fitina ya kutukanwa na kuwa shujaa na kusifiwa na wapinzani wa CCM?
Sitaki siasa.
Siasa hazina akili ndo maana sitaki kufuata siasa. Nape huyu ametukanwa sana mwaka juzi na mwaka jana katika kutekeleza kazi zake.
Najua wengi tunapenda maneno yanayotufurahisha zaidi ya kufikirisha.
Huyo ndo Nape ambaye amekata fitina ya kutukanwa na kuwa shujaa na kusifiwa na wapinzani wa CCM?
Sitaki siasa.
Kwahiyo hakuvamia clouds? Sijui kwanini hawakutumia trick wakamrusha live akifanya tukio? Ile tape huenda ikawa na footage zaidi hasa ukizingatia camera huwa ni zaidi ya moja.Siasa hazina akili ndo maana sitaki kufuata siasa. Nape huyu ametukanwa sana mwaka juzi na mwaka jana katika kutekeleza kazi zake.
Najua wengi tunapenda maneno yanayotufurahisha zaidi ya kufikirisha.
Huyo ndo Nape ambaye amekata fitina ya kutukanwa na kuwa shujaa na kusifiwa na wapinzani wa CCM?
Sitaki siasa.
Ben saa 8 anaonekana vijiwe vya kahawaHajawa na haitakaa awe shujaa wa upinzani. Mfano wa shujaa wa upinzani ni Tundu Lisu a.k.a Rais, Godbles Lema a.k.a Mandela wa TZ, Ben Saa8 ambaye inadaiwa alipotezwa kwa msaada Daudi A.B
simply ifahamike kuwa mazingira anayoyapitia saa8 hayatawaacha salama. Kiburi cha Daudi A.B sio bure, anajua siri alizomfichia mpiga push-up.
Kwahiyo hakuvamia clouds? Sijui kwanini hawakutumia trick wakamrusha live akifanya tukio? Ile tape huenda ikawa na footage zaidi hasa ukizingatia camera huwa ni zaidi ya moja.
Nakubaliana na wewe siasa ni siasa na wanasiasa Mara nyingi wanatumia matukio kujijenga lakini kuna wakati vitu vinageuka -ve effect. Kwa hili, Nape amechukua risk kubwa na hii inaweza kummaliza kisiasa. Naona kwa suala hili amekuwa Kama wewe ameamua sitaki siasa. Huyu siku zake za uwaziri zimehesabika.
Bravo Nape