Siasa na Dini: Mitume na Manabii mbona suala la kuombea mvua mmemwachia Mufti peke yake?

Hizo sifa zote ulizozitaja zilikuwepo Karne nyingi zilizopita hazikuanza Leo. Na bado waja wa Mwenyezi mungu walikuwepo. Na hili ni la kuendelea muda wa kuwa Milano ya toba iwazi.
 
Massiaskofu wetu wakina Kakobe wako jumbe jeupe wanakula bata huku wakiwasisitiza kondoo wao wapeleke mafungu ya kumi Jumapili!
 
Ni kawaida panapokuwa na matukio ya kitaifa ya kisiasa viongozi wetu wa dini hukusanyika pamoja na wanasiasa na kufanya dua.

Sasa watanzania wote tunajua kuwa Maji ni uhai na kwamba katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu mvua haijanyesha. Mpaka sasa nilitegemea wale mitume na manabii wa nchi hii walau wangetukusanya pale uwanja wa taifa kwa ajili ya maombi kama wafanyavyo nyakati za mwaka mpya.

Nimpongeze Mufti Abubakar Zuber kwa kuitangaza jumapili hii kuwa ni siku ya kuombea mvua za heri, nami naahidi kuwa pamoja nao katika maombi hayo kiroho.

Mitume na manabii nanyi hamuoni umuhimu wa kutenda kama Mufti na kama mmebanwa na ratiba zenu tujulisheni ili tuangalie namna nzuri ya kushirikiana na Mufti siku ya jumapili.

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!
Wapo busy wanashindana kutenda miujiza ili wapige Pesa.
 
Mkuu manabii wana zuiaga mvua isnyeshe kwenye mikutano yao hivyo wakimaliza mikutano watairuhusu.Waambie wanao omba sio kwamba mvua haipo ila imezuiliwa kwa muda wa we wapole.
 
Kwani mzazi wangu ni mungu ... Unamfananisha huyo mungu na mzazi , stupid

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani kufanana ni nini mkuu...?

Nimewahi kuskia tu MAANDIKO kuwa MUNGU ametuumba kwa MFANO wake. Ina maana kwani ndio tumekuwa kama yeye kwa kila kitu au MAANDIKO hayo yana maana gani mkuu...?

Ningependa kujua kiongozi.
 
Hii dhana ya kumuomba Mungu inanichanganya sana maana yeye ndiye aliyetuumba na anajua mahitaji yetu ya kila siku tena sio ya leo tu bali hata siku ijayo sasa ni vipi tena katika kututengenezea mustakabali wetu hadi tumuombe?
Duuu! Yaelekea wewe ni mpagani,huyajui maandiko.
Waachie wanaojua na kuamini katika maombi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyo Mufti ndo rafikiye Bashite?maana haya majina ya Alhad Musa na Abubaker Zubeir yananichanganya.

Kama ni yeye basi Allah hatayasikia maombi yake.Huwezi kushirikiana na Bar-shite halafu Mwenyezi Mungu akuhesabie haki au ajibu maombi yako.

Lakini kama si yeye,Allah atasikia maombi hayo na kuyajibu kwa kadri ya rehma zake.

Jina lako linafaa uitwe The son of bitch maana hata ukifungiwa ndani ya chupa utatoa kidole...mtoto wa halali hawezi kuandika post hio...we umekua katibu muhutasi wa m/mungu unajua maombi gan anataka na yapi hataki?fanyeni siasa zenu za maji taka sio sio kuleta maneno yenu ya kishirikina na ya kufuru..
 
Wameona Mvua za Masika zinakaribia Wanatafuta Kiki ili zikinyesha waseme zimenyesha kwa Maombi yao.
 
Alituumba ili tusitende dhambi usisahau hilo mkuu!

Hao masheikh waache kusaka point za mezani, hata wasipoomba mvua haina wiki 2 toka sasa lazima zinyeshe. Wanataka kujifanya wanaomba ili itakapoanza kunyesha wajifanye ni wao wameileta. Kama wanauwezo huo wa kumuomba Mungu na akawasikia waombe inyeshe kila siku masaa mawili kwa muda wa miezi miwili kisha, isilete madhara. Kwa taarifa yao kwa ukaribu huu wa mvua hata mashoga wakiomba tena wakiwa kwenye lile tendo lao, mvua lazima inyeshe.
 
Ni kawaida panapokuwa na matukio ya kitaifa ya kisiasa viongozi wetu wa dini hukusanyika pamoja na wanasiasa na kufanya dua.

Sasa watanzania wote tunajua kuwa Maji ni uhai na kwamba katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu mvua haijanyesha. Mpaka sasa nilitegemea wale mitume na manabii wa nchi hii walau wangetukusanya pale uwanja wa taifa kwa ajili ya maombi kama wafanyavyo nyakati za mwaka mpya.

Nimpongeze Mufti Abubakar Zuber kwa kuitangaza jumapili hii kuwa ni siku ya kuombea mvua za heri, nami naahidi kuwa pamoja nao katika maombi hayo kiroho.

Mitume na manabii nanyi hamuoni umuhimu wa kutenda kama Mufti na kama mmebanwa na ratiba zenu tujulisheni ili tuangalie namna nzuri ya kushirikiana na Mufti siku ya jumapili.

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!

Dini,dini,dini......

Only fools even think dini means anything other than glorified stupidity!

Mtu mzima kabisa anaona solution ya kuleta mvua hapa duniani ni kufanya ibada?

Really?

Ndio maana Africa tupo nyuma kwa kila kitu,disgrace to humanity!
 
Imekuwaje tunatenda dhambi? Ebu fikiria yeye ametuumba katika jamii tofauti wapo wazungu,waarabu,wahindi,wachina,weusi nk na kwa akili ya kibinaadamu wapo wanaofikiri na kupenda kujibadilisha lakini haiwezekani sasa imekuwaje hapo kwenye dhambi?
Tunapoomba kwa maanani pia huwa tunaomba atusamehe dhambi zetu ambazo tunazitenda aidha kwa kujua au kutojua.Hivyo basi akiamua kutusamehe dhambi anaondoa adhabu iliyo karibu nawe hivyo we we unajiona umepata baraka anapojibu maombi yako.Vivyo hivyo tukosapo mvua wanasayansi hutoa tafsri zao kama vile kwamba tunachafua mazingira nk lakini wacha Mungu hili la wanasayansi hulipa kisogo na kumlilia Mungu na Mara nyingi hutupa faraja akitupilia mbali mambo ya sayansi.Dhana hii inathibitika pale mvua inaweza kosekana kwa musimu eneo Fulani lenye uchafuzi wa mazingira lakini within no time mvua inanyesha kabla hata nyie hamjarekebisha hayo mazingira mliyoyaharibu .Mungu akuguse.pia we we uweze shiriki hayo maombi.Tumepata adhabu ya ukame na Mungu huyo huyo akapeleka idai Msumbiji with her neighbours kama adhabu kupitia mvua.
 
Dini,dini,dini......

Only fools even think dini means anything other than glorified stupidity!

Mtu mzima kabisa anaona solution ya kuleta mvua hapa duniani ni kufanya ibada?

Really?

Ndio maana Africa tupo nyuma kwa kila kitu,disgrace to humanity!

Africa tupo nyuma kwa sababu ya dini! Lakini hao unaowaona wapo Mbele Ndiyo Waasisi wa Hizo dini na kuzileta Africa.

Hivi wewe Genius usiyeamini dini una ubora gani wa kimaisha kumzidi Crown prince wa Uengereza ambaye ni Muumini wa Kianglicana kindakindaki?

Au una ubora gani wa kimaisha kumzidi Mufti Mkuu wa Saudi Arabia ambaye ni Muumini wa Kiislamu mwenye utajiri zaidi ya dola $100m?

Africa kuwa nyuma si sababu ya Dini kwani Hata ulaya kuna Waumini wa Dini wakubwa tu kiasi ya kwamba Kama wewe si Muumini wa Anglicanism au Catholic huwezi kuongoza nchi kama England and Scotland respectively.
Bali kilichotueka Afrika kuwa nyuma ni Siasa mbovu, za kibabe na ufisadi uliokithiri.

Mkuu saa nyengine unapojifanya mjuaji sana na ukaona mitazamo ya wenzako ni wajinga basi utakuja jikuta wewe ndiye unayetumbukia kwenye ujinga.
 
Africa tupo nyuma kwa sababu ya dini! Lakini hao unaowaona wapo Mbele Ndiyo Waasisi wa Hizo dini na kuzileta Africa.

Ulaya nani kajenga dini gani?

Hakuna!!

Usinitajie variations ya dini za Kikristo hapa ukasema European kajenga,noooo!

Christianity na Islamism zimejengwa Middle East,na last time I checked,hakuna mzungu pale!

Thank you!

Hivi wewe Genius usiyeamini dini una ubora gani wa kimaisha kumzidi Crown prince wa Uengereza ambaye ni Muumini wa Kianglicana kindakindaki?

Mimi ni genius,yes...

Ni bora zaidi yake in a sense kwamba yeye Crown Prince kapata accident ya kuzaliwa na Ufalme,amejikuta yeye ni Mfalme kwa kitendo cha kuzaliwa!!

Sasa tukichukua kigezo cha fulani ni bora zaidi ya fulani kiuwezo kibinadamu sababu tu kazaliwa na parents who happen to be on the throne ni ukichaa!

Kuzaliwa kwenye ukoo ulio na madaraka mahali hakukufanyi ukaacha kua mjinga na mpumbavu!

Crown Prince unaemsema hapa haachi kua punguani au hovyo eti sababu tu kapata ajali ya kuzaliwa na wazazi who happen to be on the throne on a certain jurisdiction!!

Thank you!

Au una ubora gani wa kimaisha kumzidi Mufti Mkuu wa Saudi Arabia ambaye ni Muumini wa Kiislamu mwenye utajiri zaidi ya dola $100m?

Kua na dola 100mil hakukufanyia ukawa ni mwerevu zaidi ya yule ambae hana hizo pesa!

Yeye kuabudu uislam au dini hakufanyi eti hizo dini ni za kweli...

Sijawahi kuona correlation yoyote ya ukweli wa dini na mali za mtu!!

Africa kuwa nyuma si sababu ya Dini kwani Hata ulaya kuna Waumini wa Dini wakubwa tu kiasi ya kwamba Kama wewe si Muumini wa Anglicanism au Catholic huwezi kuongoza nchi kama England and Scotland respectively.
Bali kilichotueka Afrika kuwa nyuma ni Siasa mbovu, za kibabe na ufisadi uliokithiri.

Kumbuka Ulaya walitumia dini kama tool ya kututawala.

Hawakuchukulia dini jinsi sisi Waafrika tulivyo chukulia!

Tofauti kabisa!

Rate ya wazungu kutokuamini dini ni kubwa,Norway,Sweden,Denmark,etc

Ni essentially atheistic nations,plus ni the most giving and happiest nations on earth!

Dini Ulaya na Dini Africa ni vitu viwili tofauti!

Mkuu saa nyengine unapojifanya mjuaji sana na ukaona mitazamo ya wenzako ni wajinga basi utakuja jikuta wewe ndiye unayetumbukia kwenye ujinga.

Mzee,ni kweli wanaoamini dini ni wajinga..

Kuna correlation ya waamini wakubwa wa dini na extreme poverty,study ipo!

Najifanya mjuaji so what?Who cares?......You?

I'm sorry,its your own problem not mine!

Dini ni za wapumbavu,andamana!

Thank you!
 
Hao masheikh waache kusaka point za mezani, hata wasipoomba mvua haina wiki 2 toka sasa lazima zinyeshe. Wanataka kujifanya wanaomba ili itakapoanza kunyesha wajifanye ni wao wameileta. Kama wanauwezo huo wa kumuomba Mungu na akawasikia waombe inyeshe kila siku masaa mawili kwa muda wa miezi miwili kisha, isilete madhara. Kwa taarifa yao kwa ukaribu huu wa mvua hata mashoga wakiomba tena wakiwa kwenye lile tendo lao, mvua lazima inyeshe.

Tindo unajitoa ufahamu kwa chuki. Suala la kukosekana kwa mvua sio suala la mvua Ukanda wa pwani tu. ni suala la Tanzania nzima. Kijana wangu ni mwalimu Kakonko Kigoma. anasema mvua huko hakuna.

Maombi ya kuomba mvua ni maombi maalum na sehemu ya mafundisho ya Din tukufu ya Uislam.
Hata wakati wa Nabii Mussa juu yake rehema na Amani yalifanyika maombi kama haya.
Uislamu hauhitaji Kiki yoyote. Study zinaonyesha kuwa Uislam ndiyo fast growing religion in the world na by 2050 utaupita Ukristo. sasa think of 2100 hali itakuwaje! kwa promo gani???
Masheikh kutekeleza wajibu katika dini ndiyo sawa. Kama kwa bahati mbaya wasiokuwa masheikh hawana mafundisho hayo au wako bize na kulaghai, kupora na kujilimbikizia mali ni juu yao.
Ni kwa huruma ya Wanyama, wazee na watoto kinyume na hayo mungu angezuia kabisa mvua kwa matendo ya watu kama unavyoshadidia ushoga. Na ndiyo maana wakati wa kuomba mvua watoto wadogo, wazee na Wanyama hupelekwa uwanja wa maombi.
Nachelea usije kuwa ulipatikana baina ya matendo ya halali kinyume na utaratibu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom