A
Anonymous
Guest
Ninaomba Serikali kupitia TAMISEMI na Waziri wa Elimu waingilie kati shule ya sekondari Moshi Ufundi iliyopo Moshi Manispaa mkoani Kilimanjaro yenye wanafunzi wenye mahitaji maalum viziwi mwaka huu walihamishwa walimu zaidi ya 10 na kati yao wapo walimu wa masomo ya elimu maalum na kupelekea wanafunzi kukosa walimu wenye utaalam wa kuwafundisha
Wapo na walimu ambao hawana utaalam na hii imewafanya waone shule ni ngumu kwa sababu hawelewi hawana mawasiliano
Serikali iangalie nanma ya kuwasaidia hao watoto wapate elimu sawa na wenzao kwa sababu wana haki kama wenzao na wametengwa kwenye madarasa kwa madai ya kufundishika kwa wepesi lakini ndio kama wamesahaulika
Pia liangaliwe suala la michango ya taaluma na ukuta tunayochangishwa wazazi hatupewi mrejesho wa kiasi kilichopatikana na matumizi yake wala hakuna mkeka wa waliotoa na wasiotoa ni usanii mkubwa kama uliofanyika kwenye kuhamisha walim wa watoto wenye mahitaji maalum bila kuleta mmbadala na afisa elimu maalum manispaa yupo anatazama tu
Wapo na walimu ambao hawana utaalam na hii imewafanya waone shule ni ngumu kwa sababu hawelewi hawana mawasiliano
Serikali iangalie nanma ya kuwasaidia hao watoto wapate elimu sawa na wenzao kwa sababu wana haki kama wenzao na wametengwa kwenye madarasa kwa madai ya kufundishika kwa wepesi lakini ndio kama wamesahaulika
Pia liangaliwe suala la michango ya taaluma na ukuta tunayochangishwa wazazi hatupewi mrejesho wa kiasi kilichopatikana na matumizi yake wala hakuna mkeka wa waliotoa na wasiotoa ni usanii mkubwa kama uliofanyika kwenye kuhamisha walim wa watoto wenye mahitaji maalum bila kuleta mmbadala na afisa elimu maalum manispaa yupo anatazama tu