Shilingi ya Kenya inaimarika sana dhidi ya Dola ya Marekani. Vipi kuhusu Shilingi ya Tanzania?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,741
6,557
Kenya imetajwa kama nchi ambayo pesa yake inaimarika dhidi ya USD kwenye nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.Siku za hivikaribuni shiling ya kenya imenza kuimarika sana baada ya kuyumba sana.

Hii imepelekea bei ya mafuta kushuka sana, na pia, hata shirika ka umeme la Kenya leo limeshusha bei ya umeme na sio hivyo tu pia wamiliki wa Mabasi wameshusha nauli.

Hii shiling yetu ni wapi tunakwama kwa sababu inapaaa tu haishuki kamwe.Tunakwama wapi? au tumewekeza sana kwenye uchawa?


FB_IMG_1713206984669.jpg
Screenshot_20240415_215735.jpg
Screenshot_20240415_215759.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240415_153549_com.facebook.katana.jpg
    Screenshot_20240415_153549_com.facebook.katana.jpg
    67.3 KB · Views: 1
Kenya wamefanya investment kubwa na za kimkakati. Siasa yenye kuchallenjiana, sekta ya utalii wako vizuri ingawa wanavivutio vichache, uwekezaji hauna vipingamizi vingi, kuna inshu pia ya online marketing wapo vizuri sana. Lugha pia inachangia!

Tanzania tumekalia kusemana na uchawa wala rushwa nao wamerudi Square one unategemea nini?
 
Tuwapongeze pia kwa kuwavutia wawekezeji..
karibu kampuni kibwa zote wakifikiria kuwekeza East Africa.. kimbilio lao ni KE.

Hata kiswahili tu wanajua ni kutoka KE

Gaharama za kufungua kampuni ya kigeni kwa TZ zinawezabkufika hadi mara 5 ya KE.

Muda wa kufungua Kampuni ya kigeni bongo inachukuwa mida mrefu kuliko KE.
 
Nimekaa Kenya kwa wiki moja hivi,
1000 ya kenya ambayo ni 20,000/= ya Tanzania unapata 30 units, wakati tanzania kwa 20,000/= ambayo ni 1,000/= ya Kenya unapata 56 units

So wapi ni rahisi?
Acheni hizi maneno tz maisha ni rahisi sana kuliko kenya, hizi ni pororpaganda tu
 
Nimekaa kenya kwa wiki moja hivi,
1000 ya kenya ambayo ni 20,000/= ya Tanzania unapata 30 units, wakati tanzania kwa 20,000/= ambayo ni 1,000/= ya kenya unapata 56 units

So wapi ni rahisi?
Acheni hizi maneno tz maisha ni rahisi sana kuliko kenya, hizi ni pororpaganda tu
BBC wametoa report pia kuwa pesa inayoimarika chini ya jangwa la sahara ni ya Kenya tu
 
Tuwapongeze pia kwa kuwavutia wawekezeji..
karibu kampuni kibwa zote wakifikiria kuwekeza East Africa.. kimbilio lao ni KE.

Hata kiswahili tu wanajua ni kutoka KE

Gaharama za kufungua kampuni ya kigeni kwa TZ zinawezabkufika hadi mara 5 ya KE.

Muda wa kufungua Kampuni ya kigeni bongo inachukuwa mida mrefu kuliko KE.
Bongo tunaweza kuwa na Hali Bora ya kuwekeza kuliko Jirani zetu, tatizo hapa ni uchawa, na si wafanyakazi. Hapo ndio wawekezaji Wana shindwa, Sisi wawekezaji wanaokuja ni wale wenye kuelewa jinsi ya kuishi na chawa, ni biashara ambayo hulipi Kodi ndio maana hauoni faida yake kiuchumi, Sana Sana kubomoa uchumi , maana wakwepa Kodi baada ya hapo husafirisha hiyo Fedha makwao au nchi zingine zenye kujielewa. Na kuwekeza kwenye biashara zenye kujenga uchumi husika. Iwe nchi Jirani au nyingine .
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya rais wa Kenya na Tanzania.

Kenya wana rais mwenye kiu ya kutaka maendeleo ya nchi yake lkn Tanzania wana rais mwenye kiwi ya kung'ariasha viatu ili asafiri nje

Mbona wakenya wenyewe hawamtaki?
 
Back
Top Bottom