Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Me mmoja Trafiki nam mega sana
We jamaa ushapoint!!....Nitafutie namba ya huyo wa pili kutoka mwanzo
Hiyo ni aina ya udhalilishaji haikubaliki na wala siyo kitu cha kujivunia kuandika wala kuongea hasa kwa mtu mstaarabuHuko depo walishavurugwa sana chakula ya wakubwa hiyo
Ukakamavu upi?hivi ukakamavu kwa mtoto wa kike hauwezekania au ni sisi Afrika
Tatizo lenu mnakariri kila mwanamke wa rwanda ni mzuri. Tanzania tuna wanawake wazuri na tunaongoza kwa Afrika Mashariki. Usikariri, mbona hamsemi burundi ina wanawake wazuri wakati wahutu na watutsi wako rwanda na burundi? Usikute hata rwanda yenyewe huijui.Nenda Rwanda ujionee
Hawa labda wakakae kwenye dawati la jinsia.
Angekuwa mzuri asingetumia kamera miatatu sitini
hahaa pastorNamna hii rahisi Sana kujikamatisha
Bro, utarushwa kisnula mpaka ukomeNitafutie namba ya huyo wa pili kutoka mwanzo
Huyu sio mwanajeshi.. Ni mke wa mjeda na mjeda alishatemwa kisa mkewe alivaa nguo za jamaa kupigia picha
Kitu kidogo wakapata kikubwa hamna mbayaNchi ya kitu kidogo hii waulize maboss wanavyo wasumbua