Show za kiingilio cha 10,000 anaweza kufanya Diamond na kuingiza pesa ndefu tu ila inabidi aandae mwenyeweShigongo anahoja. Naseeb ni mfanyabiashara zinagitia hili
Amina mkuuhuyu shigongo alizoea kitonga kutoka kwa wasanii
na kuwanyonya sasa wasanii wameanza kuamka anaanza kuisoma namba..
yeye mbona semina zake za ujasilia mali anatoza pesa nyingi tu wakati ndio zinawahusu watu wa tabaka la chini ili wajikwamue kiuchumi....
tena diamond na wasanii wengine endeleeni kukaza hadi watapike nyongo hawa wanyonyaji..
tena msikubali kupangiwa na mtu sababu wakati mnatunga hizo nyimbo hakuna aliyewashawishi,
wala hakuna aliyewasindikiza studio kurekodi
Hahaha mbona shigongo analialia so akamchukue Alikiba akajaze pale Darlive kwa 10,000 kama alivyojaza kule Dodoma kwenye pubdiamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Braza kunywa viroba ...mi ntalipia popote ulipo na jela ntaenda kwa niaba yakoShigongo anajaribu kujivutia biashara upande wake hujui ni vibaya sana kuwa mbali alafu ujirusishe karibu. Diamond na wasafi ni brand tayari na ishakuwa na mashabiki na wateja piah acha kumrudisha dogo nyuma kimaendeleo,, nilijuwa unamshauri aboreshe zaidi ili aweze kupata zaidi,, Dogo nasibu usikubali kufelishwa kiboya komaa kimpango wako anataka akulostishe •
Kifupi asipangiwe cha kufanya..huyu shigongo alizoea kitonga kutoka kwa wasanii
na kuwanyonya sasa wasanii wameanza kuamka anaanza kuisoma namba..
yeye mbona semina zake za ujasilia mali anatoza pesa nyingi tu wakati ndio zinawahusu watu wa tabaka la chini ili wajikwamue kiuchumi....
tena diamond na wasanii wengine endeleeni kukaza hadi watapike nyongo hawa wanyonyaji..
tena msikubali kupangiwa na mtu sababu wakati mnatunga hizo nyimbo hakuna aliyewashawishi,
wala hakuna aliyewasindikiza studio kurekodi
Mnh!!ngoja tu nicheke mamadiamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Front font Oooh Nooo! Font page, baba'ake bashite huyo.akija kufulia wakwanza yeye kumuweka front page
Kule iringa ata mimi niliona amna mtu aliye kwendadiamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao