Shigongo amuonya Diamond, amlaumu kutoza pesa nyingi shows za ndani...

Shigongo anahoja. Naseeb ni mfanyabiashara zinagitia hili
Show za kiingilio cha 10,000 anaweza kufanya Diamond na kuingiza pesa ndefu tu ila inabidi aandae mwenyewe
Mfano tamasha la Wasafi lililofanyika iringa kwa idhamini wa vodacom liliingiza zaidi ya milioni 120
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huyu shigongo alizoea kitonga kutoka kwa wasanii
na kuwanyonya sasa wasanii wameanza kuamka anaanza kuisoma namba..
yeye mbona semina zake za ujasilia mali anatoza pesa nyingi tu wakati ndio zinawahusu watu wa tabaka la chini ili wajikwamue kiuchumi....

tena diamond na wasanii wengine endeleeni kukaza hadi watapike nyongo hawa wanyonyaji..
tena msikubali kupangiwa na mtu sababu wakati mnatunga hizo nyimbo hakuna aliyewashawishi,
wala hakuna aliyewasindikiza studio kurekodi
Amina mkuu
 
Kwa mtu anayejua maadili ya kazi hizi, kutoa habari za dau gani mnapatana na msanii ni kumvunjia msanii huyo faragha yake ya kibiashara.

Shigongo ama hajui hili, au anajua lakini anapuuza.

Yote mabaya.

Kama nina kazi yangu kubwa siwezi kufanya naye,kwa sababu hana usiri wa kibiashara unaotakiwa.
 
diamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Hahaha mbona shigongo analialia so akamchukue Alikiba akajaze pale Darlive kwa 10,000 kama alivyojaza kule Dodoma kwenye pub
 
Shigongo anajaribu kujivutia biashara upande wake hujui ni vibaya sana kuwa mbali alafu ujirusishe karibu. Diamond na wasafi ni brand tayari na ishakuwa na mashabiki na wateja piah acha kumrudisha dogo nyuma kimaendeleo,, nilijuwa unamshauri aboreshe zaidi ili aweze kupata zaidi,, Dogo nasibu usikubali kufelishwa kiboya komaa kimpango wako anataka akulostishe •
Braza kunywa viroba ...mi ntalipia popote ulipo na jela ntaenda kwa niaba yako
 
Wengi mnachangia kwa mahaba na ushabiki zaidi kuliko hata kuangalia faida ya miaka 20 ijayo ya huyu msanii unaempenda...jibu kwa hoja huku unajiuliza pia ww shabiki hapa tz Mara ya mwisho kuhudhuria show ya diamond kwa kiingilio cha kawaida ni lini kulingana na kipato chako????
 
huyu shigongo alizoea kitonga kutoka kwa wasanii
na kuwanyonya sasa wasanii wameanza kuamka anaanza kuisoma namba..
yeye mbona semina zake za ujasilia mali anatoza pesa nyingi tu wakati ndio zinawahusu watu wa tabaka la chini ili wajikwamue kiuchumi....

tena diamond na wasanii wengine endeleeni kukaza hadi watapike nyongo hawa wanyonyaji..
tena msikubali kupangiwa na mtu sababu wakati mnatunga hizo nyimbo hakuna aliyewashawishi,
wala hakuna aliyewasindikiza studio kurekodi
Kifupi asipangiwe cha kufanya..
 
Zama zimebadilika Mno. Muziki umekua na Wasanii wamezidi kujiongeza. Diamond kwa Milioni mia ni sawa kulingana na Brand yake.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
diamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Mnh!!ngoja tu nicheke mama
Karibu biriani hapa na ndizi mbivu mpenzi
 
Kesho akifeli unaanza kumsakama na magazeti yako. Shigongo acha ubahili povu lote limekutoka baada ya WCB kukuchomolea shoo ambayo umeiandaa pasaka DarLive, kwa kutaka kumpa harmonize ela MBUZI. Mimi naona sawa waache wakaze, mtazameni SAIDA KAROLI leo yupo hoi, dunia imebadilika watu wamewekeza mda na ela zao, kwa hiyo lazima ela yao kwanza irudi, alafu mbona mwaka jana diamond platnumz amefanya show Mbeya, Iringa na Mwanza kwa sh 10000 ela ya kawaida na matamasha mengi ya Fiesta yalifanyika kwa sh 10000 na nina uhakika ata tour yao ya WASAFI inayodhaminiwa na VODA ktk mikoa kumi kiingilio kitakuwa 10000 ni bei ya kawaida. Ila shishangai usimchukie diamond platnumz ichukie mitandao ya jamii ambayo imeharibu biashara yako, siku hizi umbeya wa moto moto unapatika instagram, Facebook, whatsup na ndio maana magazeti yako yanadoda, naomba ww Shigongo usiwe mmoja wa mapromota wanaowafanya wasanii wetu wawe MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA.
 
diamond akifanya show hapa bongo itakuwa ya kawaida saana wala hakuna mtu ataenda.shigongo kasema kweli m 100 alipwe kwa lipi ? kuimba yenyewe majanga live performance yake anabebwa na madansa tu.
mapromoter wa bongo hakuna mjinga wa kumpa mond m 100 maana hana jeuri ya kuingiza watu hao
Kule iringa ata mimi niliona amna mtu aliye kwenda
 
Back
Top Bottom