Sheria inasemaje? Ukimtuhumu mtu, ukimtangaza katika vyombo vya habari bila ushahidi wala kidhibiti?

Hebu jiulize hivi Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa Mwigulu Nchemba mbona amenyuti kama vile hayupo kabisaa na haoni kinachoendelea. Ipo namna sio bure!
 
Mtu Kama Manji akutwe hana hatia mamamama sipati picha ataomba makusanyo yote ya kodi dar ya mwezi apewe yy kama fidia hahahaha
Na huu upuuzi ndo ulimfanya mpaka Bakhressa leo ni milionea,serikali kufanya makosa ya kizembe halafu mtu anakuja kudai mafidia meeengi
 
Uchunguzi lazima ulifanyika... evidence zitakuwepo
Najaribu kujiuliza hivi kwa mfano leo Manji akienda kumshtaki Makonda kwa kosa la kumchafua, kesho Mbowe akaenda kushtaki kwa kosa hilo hilo, Kkutwa Gwajima akaenda mahakamani kwa kosa hilo hilo, hatimaye watu kama sitini wakashtaki kwa kosa hilo hilo. Je mahakama yaweza kuzifanya hizi ni kesi 60 tofauti hivyo kila moja na jalada lake au wataziunganisha ili kumpunguzia mzigo mlalamikiwa? Naomba kujuzwa mimi sijui vizuri mienendo ya kesi mahakamani.
 
Waulize chadema, wao ndiyo waliotangaza ,,list of shame" Mwembe Yanga, isitoshe walitaka Majina yote ya Mapapa yatangazwe na siyo vidagaa, sasa Mapapa wauza unga a.k.a Mbowe ndiyo hayo mnayo huko chadema!
Umethibitisha kuwa Mbowe ni muuza unga?
 
Viongozi wa awamu hii wakurupukaji na wanaongoza kibabe ndio maana mawaziri na watendaji wangazi mbalimbali wanafanyakazi kiuoga na wengine wakiachia ngazi kwa kutishwa tshwa na wanasiasa tuliowapigia kura kuja kutukomoa

Mkuu hili unalolisema nimeliona jana kiukwel nlijiskia vbaya sana pale airport. Wazir wa uchukuz vs baba mwenyenyumba dah nomaa kaka
 
Nafikiri ile kauli ya Waziri Nape ilikuwa bora sana kujenga jina ni kazi ngumu sana ila kulibomoa jina la mtu na sifa zake ni dk 1 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…