chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 9,564
- 20,743
Kuna video hipo youtube akisimulia kuhusu alivyo kwenda somalia kuhubiri dini.
Roho za watu zimejivisha dini lakini sivyo ndivyo anavyo sema. Anasimulia alivyo tekwa na al shabab wakamwambia ubaki na ujitolee kusalisha ila mwenzake alimtonya kuwa ukisema mema watatumaliza.
Ilibidi kuanza kusema yale wanayo tumia magaidi kupambana na dini.
Kwa ili uislamu unabidi kujitafakari sana ndio maana saudia kaweka kitengo cha kupambana na magaidi wa dini yake.
Roho za watu zimejivisha dini lakini sivyo ndivyo anavyo sema. Anasimulia alivyo tekwa na al shabab wakamwambia ubaki na ujitolee kusalisha ila mwenzake alimtonya kuwa ukisema mema watatumaliza.
Ilibidi kuanza kusema yale wanayo tumia magaidi kupambana na dini.
Kwa ili uislamu unabidi kujitafakari sana ndio maana saudia kaweka kitengo cha kupambana na magaidi wa dini yake.