Sheikh Kundecha, afunga mjadala wa mahakama ya Kadhi, Aeleza kwa ufasaha mkubwa umuhimu wake

Tuangalie baadhi ya hukumu zitolewazo na mahakama ya kadhi kwa raia,ujiulize je mahakama hiyo inafaa au la,na je uko tayari upewe adhabu kama hii?
LiveLeak-dot-com-4eb_1407196993-3_14071971871.jpg.resized1.jpg

Matukio hayo hayana mahusiano na Mahakama za kadhi. Hii ni vita kati ya Waarabu na Wazungu. Wote hao wanataja imani zao katika kutekeleza na kuhalalisha mauji wanayo yafanya. Lakini hiyo haina maana ndio inawakilisha dini husika.

Hebu angalia hii clip halafu kama wewe ni Mpalestina Umemkamata Muizraeli ungempa adhabu gani itakayo kuridhisha!



CC. Wakristo Wote!
 
Last edited by a moderator:
Kama mm ninavyo muona mkiristo hasa mkiristo aliesoma huwa namuona kama takataka za sikio.
Juu ya usomi wake wote lakini ameshindwa kutambua mungu wa kweli. Badala yake ana abudu sanamu la mzungu lililo valishwa nepi.
Mungu gani anachapwa na wahuni mpaka anaomba msaada?
Mungu anakunya mungu anapigwa? Acha ujinga ww zinduka soma umjue mungu wa kweli asie na mfano.
.......Aha ha ha ha!! Naona unazidi kuhara kama Mwamedi. Acha jazba dogo. Kohoa kidogo, kunja ngumi, nyosha mkono juu kisha sema TAKBIRRRRRRRRRRRRRRRRR!!!!!!
 
Ila tukianza na neno askofu kinachofuata ni kufumuluwa marinda ha ha ha ha ni mtazamo tu nyinyi wafuga mapepo
.....teh teh teh! kama Muddy alivyokichana malinda kile kitoto cha miaka 6. Hao Maaskofu unaowafahamu waliokuchana Malinda walicopy na kupaste kwa Muddy G.ay.
 
mie nataka aje mkristo..anieleze kwa kina..nini hasara za mahakama ya kadhi kwa ukristo au nchi...only that..
Masheikh/mahakimu wa mahakama ya kadhi ruhusa ila wakristo hawataki igharamiwe na govt kwa sababu hela zetu tunazozipata kwa biashara ya Nguruwe na kulipia kodi ya biashara zetu za Nguruwe zitatumika kuwalipa mishahara hao Masheikh na vile vile si vizuri hela za Makafir zitumike kuwalipa wafuga majini. Short like that!!
 
Same mental attitude, hakuna Mkristo yoyote kuanzia nyinyi Malaymen, Viongozi wenu wa Dini, na wanasiasa wanaolitumikia kanisa zaidi kuliko nchi yao, na wanaopinga Mahakama za kadhi, wenye hoja za msingi bali wanafuata Maagizo Kutoka Vatican kua, Pingeni tu. Lakini, wakristo huru wa Kenya na Uganda na nchi nyingine za Ulaya, Suala hilo la Mahakama za Kadhi, halikuwapunguzia chochote katika imani zao.

Shangaa Spika Wa Bunge Maalum, Mheshimiwa Samueli sita anakataa kua katiba ya Uganda haina Mahakama ya Kadhi, wakati niliwawekea hadi katiba ya Uganda humu JF. Sasa kama hawatumiwi kwa Maslahi ya kanisa, wanasukumwa na nini kulidanganya Bunge juu Mambo haya.

Wakati hakuna shaka, Waislamu ni wachache katika nchi ya Uganda, Katiba ya Uganda inatambua uwepo wa Mahakama ya Kadhi katika ibara ya 129 kifungu kidogo cha (d)

The courts of judicature.

129. The courts of judicature.


(1) The judicial power of Uganda shall be exercised by the courts of judicature which shall consist of—

(a) the Supreme Court of Uganda;

(b) the Court of Appeal of Uganda;

(c) the High Court of Uganda; and

(d) such subordinate courts as Parliament may by law establish, including qadhis’ courts for marriage, divorce, inheritance of property and guardianship, as may be prescribed by Parliament.



Hamia Uganda basi au unasemaje? Kule na Kenya ambapo kuna mahakama ya kadhi na mashambulizi ya AL Shabaab patawafaa sana nyie watu.
 
Last edited by a moderator:
Hasara yake ni kuchochea chuki mbaya za kidini, kuingilia uhuru wa watu wa kuabudu, kutumia raslimali za nchi kuendesha ibada ya dini ya shari , kuvunja haki za binadamu, kuigeuza Tanzania yetu nchi ya kiislamu.

Ikiwa hizi ndio akili za watu wanaongoza Tanzania unafikiri tutegemee maendeleo?! Kamwe!Inawezekana kabisa huyu aliyeandika maneno haya policy/decision maker wa nchi hii. Ukristo ni laana ya ulimwengu. !!.Nchi yote wameifilisi.MZIMU wa Nyerere bado unaitafuna nchi.
 
Ni wapi kwenye quran wametaja waislamu waunde hizi mnazoita mahakama za kadhi? Yani robo sharia.

Ukinionyesha nina slimu leo.

Qur'an ni zaidi ya fikra zako, soma utaielewa, usingoje kila kitu kuletewa kama mwari wa kindengereko.
 
Yawezekana sijui kama unavyomuandika wewe na hapo ndio tatizo linapoanzia. Ninachojua dini ni imani inayowaunganisha watu au kundi la watu katika maisha yao hapa duniani kupelekea maisha yao ya baadaye hapa duniani kwa kila kundi kwa mtazamo wake. Yapo mambo ya msingi yanayotuunganisha hapa duniani wote kwa umoja wetu ambayo ndiyo tunataka yawemo katika Katiba, siyo hizi imani za makundi. Hizi tuziruhusu kila kundi kwa imani yake na wajiendeshe watakavyo hali mradi hawaingilii maisha ya wengine au makundi mengine.

Tatizo ndio hilo, kitu hukijuwi hata maana yake halafu wewe unataka kukielezea, kama si upunguani huo ni nini?
 
Tatizo kubwa ni kuwa hujuwi maana ya "dini", Kiswahili si lugha mama kwako.
Haihitaji kuwa lugha mama kujua maana ya neno. Kuna watu wankijua kifaransa kuliko wafaransa wenyewe na halikadhalika kuna watu wanajua kiingereza kuliko waingereza wenyewe!
 
hiyo mahakama kwani mnashindwa kujenga na kulipa wafanyakazi wake mpaka ihudumiwe na serikali!? mbona misikiti haijengwi na serikali? msitake kuipoteza amani ya nchi kwa sababu ya tamaa ya watu wachache!
 
Hata mimi huwa sielewi kwa nini kuwe na mahakama ya kazi tena serikari iwe inalipa hao wafanyakazi wa imani moja haiwezekani waamuane ktk nyumba zao za ibaada yatosha
 
Kama katika dini yenu hamna kitu hicho isiwe nongwa ,hivi wakiristo hamna sheria katika dini yenu ? Au ni choyo tu kuona waislamu wana baadhi ya mambo ambayo only katika dini yao ndio yanaweza kupatiwa ufumbuzi kutokana na kuwa waumini wa kweli wanaofuata maamrisho ya dini yao hawaoni uzito ni amri juu yao .hivi mliambiwa nanyi mtahusishwa ?

Mnataka kuchuna kodi zetu mlipwe mishahara.mmeishiwa ee?
 
Mkuu Stefano Mtangoo, kwanza kabisa Waislamu hawazii mtu yoyote kudai nini afanyiwe katika katiba mpya kwa Maslahi yake Binafsi au Maslahi ya Dini yake. Ndio Maana tangu mchakato wa Katiba uanze, hauja sikia Muislamu yoyote kulalamika nini kisiingizwe katika katiba hii. Waislamu wao wana madai yao kwa imani wa imani yao na wanatoa maelezo kwa wanahitaji hivyo. Chakushangaza, wanaoibuka kuipinga, ni Wakiristo tena kwa umoja, wote kila mkristo anae simama anapambana na hilo. Wakati inaelezwa mara zote kua, Mahakama hizo ni kwa ajili ya Waislamu tu, au Wale watakao penda kuhukumiwa na Mahakama hizo hata kama sio Waislamu, kama vile ilivyo Uingereza.

Sasa cha kushangaza, wakristo hao hao, hawaoni umuhimu wa kuingiza katika katiba, haki za kabila moja katika makabila ya Tanganyika, linalo itwa, Wahadzabe.

Vile vile ni lazima utambue, Dunia nzima ni Dini ya Kiislamu pekee, ilio na Mifumo madhubuti ya Kisheria na Mahakama katika nyanja zote za Mwanadamu. Tanzania itakua ni ya kwanza, kuanzisha Mahakama kwa Mujibu wa Bibilia. Hata Vatican hawana Mahakama hiyo. Mfumo wa Kikatoliki ulivyo, kama hilo lingekuwepo, basi lisingengoja mpaka Waislamu wadai, ndio na wao waanzishe. Ikumbukwe kwamba, Mahakama za Kadhi zilikuwepo kabla ya Uhuru chini ya Utawala wa Wazungu, lakini hakukuwa na Mahakama za Bibilia chini wa Watawala hao hao wakirsto.

Kwanini Mahakama ya Kadhi iwepo kwenye katiba?, hilo tumeeleza kwa kirefu, rejea post hii mwanzo kabisa au post Mbalimbali ambazo Wachangiaji Waislamu wamekua wakizijibu.

Hoja nzito hizi! mi nafyonza tu hapa tarudi baadae!
 
Tatizo ndio hilo, kitu hukijuwi hata maana yake halafu wewe unataka kukielezea, kama si upunguani huo ni nini?

Ndiyo maana inapingwa kila mara,mnaotakiwa kutuelimisha majibu yenu ndo haya,unafikiri kuna mtu atashawishika kuikubali kwa majibu kama yako.Hakuna anayekubali mikataba ya kina Karl Peters
 
Back
Top Bottom