kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,077
- 18,124
Wakuu.....naombeni mnisahihishe kama nakosea, binafsi mimi ni mwislam ila sijaona kosa la Mwamposa, analolifanya mwamposa kuwaombea waislam kuna ubaya gani?
Kosa la mwamposa liko wapi?Kuna siku mwamposa ashawahi kumlazimisha mwislam yoyote amfate kanisani?Kuna siku mwamposa ashawahi kuukashifu uislam kanisani kwake?
Mimi binafsi sijaona tatizo..Mbona simple?kama wewe unaona mwamposa anavutia sana hadi waislam kwenda kuombewa kwake why na wewe usitengeneze sehemu ya kutoa visomo na dua na wakristo wakaja kwako?
Ni wakristo wangapi wanaweza wakaenda kwenye dua na visomo mbona wenzetu hawajawahi kulalamika?Sisi tukienda kwa mwamposa unalalamika kwani mwamposa kavunja sheria gani?
Ninahisi vita ya alhadi na mwamposa kuna kitu kingine aisee nahisi sio suala hili, there is something behind, kuna mambo nayajua ila siwezi kutamka kuna mambo nayajua, kuna siku nitayapasua paa humu ndani kuhusu huyu alhadi watu mtashangaa.
Amini nawaambia mimi ni muislam lakini ni bora kwenda kwa mwamposa kuliko kuketi msikitini na kupewa mawaidha na sheikh alhadi kuna siku nitasema naam nitayamwaga humu inshallah ndo mtajuwa huyu mtu ni zaidi ya tumjuavyo.
Kuna kitu kingine kipo kati yake na Mwamposa sio suala hili,hili suala linatumika tu kama ngao ya kujiamini na hili linatengeneza chuki za kidini,hakuna kitu nakichukia maishani mwangu kama chuki za kidini, ni mambo ya hovyo kumchukia mtu kwasababu ya dini yake au kabila lake ni mambo mabaya sana
Namuomba tu sheikh alhadi aache kutumia mgongo wa dini kupigana vita vyake na kusukuma ajenda zake, Watanzania wote wana uhuru wa kuabudu popote watakako ilimradi wasivunje sheria.
Sheikh miaka yote upo Bakwata you have done nothing, hujaleta legacy yoyote, toka umeingiya BAKWATA hawajafanya lolote la maana sio elimu sio afya sio huduma za kiroho, yaani waislam sisi na Bakwata yetu hatuna cha maana cha kujivunia sio shule, sio hospital tuna bahati mbaya sana aisee
Kwa hili la Mwamposa alhadi aache uchochezi na chuki za kidini
Ngamarsa
Kosa la mwamposa liko wapi?Kuna siku mwamposa ashawahi kumlazimisha mwislam yoyote amfate kanisani?Kuna siku mwamposa ashawahi kuukashifu uislam kanisani kwake?
Mimi binafsi sijaona tatizo..Mbona simple?kama wewe unaona mwamposa anavutia sana hadi waislam kwenda kuombewa kwake why na wewe usitengeneze sehemu ya kutoa visomo na dua na wakristo wakaja kwako?
Ni wakristo wangapi wanaweza wakaenda kwenye dua na visomo mbona wenzetu hawajawahi kulalamika?Sisi tukienda kwa mwamposa unalalamika kwani mwamposa kavunja sheria gani?
Ninahisi vita ya alhadi na mwamposa kuna kitu kingine aisee nahisi sio suala hili, there is something behind, kuna mambo nayajua ila siwezi kutamka kuna mambo nayajua, kuna siku nitayapasua paa humu ndani kuhusu huyu alhadi watu mtashangaa.
Amini nawaambia mimi ni muislam lakini ni bora kwenda kwa mwamposa kuliko kuketi msikitini na kupewa mawaidha na sheikh alhadi kuna siku nitasema naam nitayamwaga humu inshallah ndo mtajuwa huyu mtu ni zaidi ya tumjuavyo.
Kuna kitu kingine kipo kati yake na Mwamposa sio suala hili,hili suala linatumika tu kama ngao ya kujiamini na hili linatengeneza chuki za kidini,hakuna kitu nakichukia maishani mwangu kama chuki za kidini, ni mambo ya hovyo kumchukia mtu kwasababu ya dini yake au kabila lake ni mambo mabaya sana
Namuomba tu sheikh alhadi aache kutumia mgongo wa dini kupigana vita vyake na kusukuma ajenda zake, Watanzania wote wana uhuru wa kuabudu popote watakako ilimradi wasivunje sheria.
Sheikh miaka yote upo Bakwata you have done nothing, hujaleta legacy yoyote, toka umeingiya BAKWATA hawajafanya lolote la maana sio elimu sio afya sio huduma za kiroho, yaani waislam sisi na Bakwata yetu hatuna cha maana cha kujivunia sio shule, sio hospital tuna bahati mbaya sana aisee
Kwa hili la Mwamposa alhadi aache uchochezi na chuki za kidini
Ngamarsa