Shabiby analipa kodi yoyote kwenye mshahara na posho zake?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
942
4,433
Shabiby ni moja ya wabunge mabepari ambao wamekwama kabisa kufikiri. Yeye ndiye anayeongoza kushawishi nauli zipande , ndiye aliyesababisha hasara kwenye ujenzi wa reli kwa kulipwa mabilioni kubeba wafanyakazi na hakulipa kiasi chochote cha kodi wala kuwalipa wafanyakazi vibarua malipo ya mifuko ya jamii

Leo pamoja na kushiba dhuluma anasimama bungeni kwamba wananchi wakatwe kodi kwenye line za simu ikiwa ni mwendelezo wa matajiri kudidimiza wananchi.

Ninachofahamu mimi huyu mtu analipwa mshahara wa ubunge na hakuna kodi anakatwa. Huyu mdogo wetu analipwa posho kadhaa bila kodi na anamikopo mingi ambayo anapewa kwa riba nafuu.

Mwisho na hii niombe kuileta kwenu; mwaka 2018 wamiliki wa mabasi walikwenda kukopa mabasi China kwa mkataba uliowekwa dhamana na serikali. Baada ya kukopa magari hawakulipa hadi wachina wakasitisha mikopo hiyo.

Watu hawa siyo wakuvumiliwa , wanapaswa kuambiwa ukweli.
 
Shabiby ni moja ya wabunge mabepari ambao wamekwama kabisa kufikiri. Yeye ndiye anayeongoza kushawishi nauli zipande , ndiye aliyesababisha hasara kwenye ujenzi wa reli kwa kulipwa mabilioni kubeba wafanyakazi na hakulipa kiasi chochote cha kodi wala kuwalipa wafanyakazi vibarua malipo ya mifuko ya jamii

Leo pamoja na kushiba dhuluma anasimama bungeni kwamba wananchi wakatwe kodi kwenye line za simu ikiwa ni mwendelezo wa matajiri kudidimiza wananchi.

Ninachofahamu mimi huyu mtu analipwa mshahara wa ubunge na hakuna kodi anakatwa. Huyu mdogo wetu analipwa posho kadhaa bila kodi na anamikopo mingi ambayo anapewa kwa riba nafuu.

Mwisho na hii niombe kuileta kwenu; mwaka 2018 wamiliki wa mabasi walikwenda kukopa mabasi China kwa mkataba uliowekwa dhamana na serikali. Baada ya kukopa magari hawakulipa hadi wachina wakasitisha mikopo hiyo.

Watu hawa siyo wakuvumiliwa , wanapaswa kuambiwa ukweli.
Wabunge ni watukufu waliitukuka, hawalipi kodi
 
Shabibu habit hela zako hata hazinufaishi huku nje, wanawake wenyewe unapenda hao hao wanasiasa mwee wenye mahela yao, umezaa na kaserina kwanini usingezaa na kina mwajuma ndala ndwefu huku manzese hela hata ikasambaa huku mitaan. Mazese tukapata kamwarabu cha gairo. Shabibu hata videmu vya uswazi hupigi hiyo hela ionjwe we unapiga vibosile Sasa wewe SI ndo ungetakiwa ututetee huko bungeni halafu unatugeuka na huku nje hata huchuniki.

Leo umeona haitoshi unataka sisi kina mwajuma tulipie line zetu buku 2, bado tunakatwa buku jero za LUKU, bado tozo, tunasafir na mabasi yako usiku na mchana ni wateja wako, ndo umeamua utufanyie hivi?? Utugeuke. Nlikua nakatiza hapo karibia na shivaz nikaona bas lekundu pale Kilimanjaro nikakumbuka maneno Yako tumbo la uzaz limencheza Hadi kiunoni nikiwa kama mwanaume mwenye hali ngumu sana. Shabibu kweeli.

Halafu Shabib Ile siku markasi alisema eti unatia takataka kule Impala, timefika mnada haujaanza mavitu mazuri yakatolewa, tulilalamika sana.. Sasa Leo kweli unatuambia tulipie laini zetu shabiby?
 
Shabibu habit hela zako hata hazinufaishi huku nje, wanawake wenyewe unapenda hao hao wanasiasa mwee wenye mahela yao, umezaa na kaserina kwanini usingezaa na kina mwajuma ndala ndwefu huku manzese hela hata ikasambaa huku mitaan. Mazese tukapata kamwarabu cha gairo. Shabibu hata videmu vya uswazi hupigi hiyo hela ionjwe we unapiga vibosile Sasa wewe SI ndo ungetakiwa ututetee huko bungeni halafu unatugeuka na huku nje hata huchuniki.

Leo umeona haitoshi unataka sisi kina mwajuma tulipie line zetu buku 2, bado tunakatwa buku jero za LUKU, bado tozo, tunasafir na mabasi yako usiku na mchana ni wateja wako, ndo umeamua utufanyie hivi?? Utugeuke. Nlikua nakatiza hapo karibia na shivaz nikaona bas lekundu pale Kilimanjaro nikakumbuka maneno Yako tumbo la uzaz limencheza Hadi kiunoni nikiwa kama mwanaume mwenye hali ngumu sana. Shabibu kweeli.

Halafu Shabib Ile siku markasi alisema eti unatia takataka kule Impala, timefika mnada haujaanza mavitu mazuri yakatolewa, tulilalamika sana.. Sasa Leo kweli unatuambia tulipie laini zetu shabiby?
Pole sana mkuu
 
Shabibu habit hela zako hata hazinufaishi huku nje, wanawake wenyewe unapenda hao hao wanasiasa mwee wenye mahela yao, umezaa na kaserina kwanini usingezaa na kina mwajuma ndala ndwefu huku manzese hela hata ikasambaa huku mitaan. Mazese tukapata kamwarabu cha gairo. Shabibu hata videmu vya uswazi hupigi hiyo hela ionjwe we unapiga vibosile Sasa wewe SI ndo ungetakiwa ututetee huko bungeni halafu unatugeuka na huku nje hata huchuniki.

Leo umeona haitoshi unataka sisi kina mwajuma tulipie line zetu buku 2, bado tunakatwa buku jero za LUKU, bado tozo, tunasafir na mabasi yako usiku na mchana ni wateja wako, ndo umeamua utufanyie hivi?? Utugeuke. Nlikua nakatiza hapo karibia na shivaz nikaona bas lekundu pale Kilimanjaro nikakumbuka maneno Yako tumbo la uzaz limencheza Hadi kiunoni nikiwa kama mwanaume mwenye hali ngumu sana. Shabibu kweeli.

Halafu Shabib Ile siku markasi alisema eti unatia takataka kule Impala, timefika mnada haujaanza mavitu mazuri yakatolewa, tulilalamika sana.. Sasa Leo kweli unatuambia tulipie laini zetu shabiby?
Kodi ya bima hiyo unafikiri utatibiwaje?
 
Huyu nae kashaanza kuyumba, mabasi yake dom to moshi kila mara hitilafu.
Uongo mwingi na dhuluma basi za dar to dom semi luxury hazina Ac lakini ukiwa unakata tiketi huduma ya Ac imeorodheshwa kuwepo, ni ulaghai tu zile basi hata vile vifaa vya AC hazina. Huu ni wizi wa wazi kwa watanzania.
 
Mikopo miingi mengine hayalipwi, ardhi za upigaji, sio vizuri kuonyesha huruma au kutoa mawazo dhidi ya watu maskini sio vizuri. Wananchi weengi hali zao ngumu saaana. Tuone huruma na kama hali ilivyo sasa watu wanashida saana. Tunayaona. Ombi tu tukumbuke Kuna Mungu wao hawa wananchi. Bora kukaa kimya kuliko kuongea yasiyo na tija.
 
Na wananchi ikiwezekana tuache kupanda hata magar yake tuwe na kampeni iyo kataa mabas ya shabiby
 
Back
Top Bottom