Hii ni nzuri.Hii ndio hali halisi, wananchi wana machaguo mengi sasa, hata nauli imeshuka kutoka 13,000 mpakq 10,000.
Sasa wafungue njia mpya, kuna sehemu zina lami nzuri lakini mabasi hovyo, Mbeya Mwanza, Mwanza Bukoba, Arusha Tarime, Tanga Mwanza, Tarime Dar. Turiani Mwanza.Mtwara Bukoba, Lindi Mwanza.
Ukiweka sufuria za mchina lazima zitoboke, hapo anakaa msweden mwenyewe
Zote hizo njia dume
SSH2025/2030
May be by means of sabotaging SGR.Mr. Abood stay stable!, kwa nauli ya 13,000/- you are unbeatable, kibiashara watakimbilia SGR, but very soon watarudi kwenye ABBOD COUCH,
BELIEVES ME!, Endapo yanatoka 20 stay cool soon idadi itapanda na kufikia 40 buses!
-crocodiletooth mchambuzi yakinifu!
Mtanikumbuka 😂😂🌹Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kw abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Zilizobakia azipeleke mwendo kasi.Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Nauli imeshuka na mafuta bei ipo pale paleHaya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Na akigundulika mtu hataachwa salama hadi kizazi chake cha nne...!!!May be by means of sabotaging SGR.
Kutoka Morogoro mpk Kiteto hakuna bus za uhakika, Arusha Musoma ni shida, apeleke hukoHaya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Yawezekana Serikali imeishaingilia kati kama ilivyoahidiNauli imeshuka na mafuta bei ipo pale pale
Aweke Arusha KitetoMa buss wayahamishie nchi jirani
Abood jana kaanza kuhujumu SGR, mabasi hayataenda popoteMr. Abood stay stable!, kwa nauli ya 13,000/- you are unbeatable, kibiashara watakimbilia SGR, but very soon watarudi kwenye ABBOD COUCH,
BELIEVES ME!, Endapo yanatoka 20 stay cool soon idadi itapanda na kufikia 40 buses!
-crocodiletooth mchambuzi yakinifu!