Sex Chat

Hii kitu inaniboa sana

Usichat na jinsia tofauti tu basi kosa, akikuzoea Mara aanze I want to lick u, Mara oo umevaa nini, sijui umelalaje

Jamanyy hizi social media zimenichosha coz ya hii kitu


We kama unataka game just tell me

Tupange date

Ishu za kutiana genye zisizo na mpango sio ishu kabisaa



Who invented this sh#t???


Wanaume wengi ndo wenye tabia hii

Guys tuheshimiane kama sio Dem Wako kwann umsexchatishe??
So chupi huwa inalowa fasta siyo?
 
nyie fanyeni tu hayo ma sex chat mjichue wee afu siku sasa ukiingia kwenye game lenyewe round moja unakaa dakika tatu chini, afu mshachoka hoi... Watu wakiambiwa wanasema ohh haina madhara ohh sijui nini,, we game dakika tano afu unajiita binadamu, binadamu kamili anaenda muda mrefu.. Wacheni ma sexchat hayo yatawapeleka pabaya, hata porn msiangalie, kama ni style nenda kajifunze na mke/mme wako chumbani mtapata position nyingi tu, ma internet yanadanganya ati hakuna side effects ya hii kitu ila trust me zipo... ndio maana washkaji siku hizi round moja hoi mishe haisimami hadi after 20min, binti naye hivohivo dakika tatu hoi, imetoka hivo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom