Pre GE2025 Serikali yawaonya wanaotaka kufanya fujo uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,492
7,033
Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mwera (CCM), Zahoro Mohamed Ally.

Mbunge huyo amehoji Serikali imejipangaje kupambana na rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2025 ukizingatia kuna upungufu wa watumishi na vitendea kazi.

Akijibu swali hilo, Simbachawene amesema Serikali imejipanga na kudhamiria kuwa na uchaguzi wa huru na wa haki ambao viongozi watachagua kwa uwezo wao wa kuongoza na kuwahudumia wananchi, na sio kwa kuwarubuni wapiga kura kwa rushwa.

 
Serikali ya CCM iandae Majela ya kufunga Watanzania milioni 60 watakaokamatwa lwa kugimbania HAKI zao za Kikatiba.
 
Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mwera (CCM), Zahoro Mohamed Ally.

Mbunge huyo amehoji Serikali imejipangaje kupambana na rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2025 ukizingatia kuna upungufu wa watumishi na vitendea kazi.

Akijibu swali hilo, Simbachawene amesema Serikali imejipanga na kudhamiria kuwa na uchaguzi wa huru na wa haki ambao viongozi watachagua kwa uwezo wao wa kuongoza na kuwahudumia wananchi, na sio kwa kuwarubuni wapiga kura kwa rushwa.
View attachment 3297712
Kumbe uchaguzi upo palepale
 
Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mwera (CCM), Zahoro Mohamed Ally.

Mbunge huyo amehoji Serikali imejipangaje kupambana na rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2025 ukizingatia kuna upungufu wa watumishi na vitendea kazi.

Akijibu swali hilo, Simbachawene amesema Serikali imejipanga na kudhamiria kuwa na uchaguzi wa huru na wa haki ambao viongozi watachagua kwa uwezo wao wa kuongoza na kuwahudumia wananchi, na sio kwa kuwarubuni wapiga kura kwa rushwa.

Kuna mawaziri hawasikiki kabisa awamu hii, kama huyu baba
 
Serikali ikemee wizi wa kura inaoufanya kila uchaguzi , serikali hiyo nina uhakika haiwezi kukemea maana haiwezi kujikemea sababu ndio njia pekee ya kushinda uchaguzi ikitumia vyombo vya dola.

Hakuna mtu aliye timamu atakubali kushiriki uchaguzi kwa tume hii..

Serikali hii iache kujificha kwenye kivuli cha machafuko na fujo huku ikitakasa wizi inaoufanya kila baada ya miaka 5.
 
Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mwera (CCM), Zahoro Mohamed Ally.

Mbunge huyo amehoji Serikali imejipangaje kupambana na rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2025 ukizingatia kuna upungufu wa watumishi na vitendea kazi.

Akijibu swali hilo, Simbachawene amesema Serikali imejipanga na kudhamiria kuwa na uchaguzi wa huru na wa haki ambao viongozi watachagua kwa uwezo wao wa kuongoza na kuwahudumia wananchi, na sio kwa kuwarubuni wapiga kura kwa rushwa.

ni muhimu sana wakashughulikiwa vizuri sana tena bila huruma Lakini bila kumunea mtu 🐒
 
Serikali ya Tanzania imewaonya watu waliojipanga kuleta fujo, kujihusisha na rushwa ama kuleta sitofahamu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kuwa ipo macho na haitatoa mwanya wa kufanyika hila hizo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mwera (CCM), Zahoro Mohamed Ally.

Mbunge huyo amehoji Serikali imejipangaje kupambana na rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2025 ukizingatia kuna upungufu wa watumishi na vitendea kazi.

Akijibu swali hilo, Simbachawene amesema Serikali imejipanga na kudhamiria kuwa na uchaguzi wa huru na wa haki ambao viongozi watachagua kwa uwezo wao wa kuongoza na kuwahudumia wananchi, na sio kwa kuwarubuni wapiga kura kwa rushwa.

Wajinga, watupe katiba mpya na tumehuru ya uchaguzi tuache kuandamana
 
Back
Top Bottom