kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,883
- 7,772
Kwa povu hilo utakua alikukamata cheti feki maana hata akili huna.Muuaji mkubwa bladifaken Jiwe
Kwa povu hilo utakua alikukamata cheti feki maana hata akili huna.Muuaji mkubwa bladifaken Jiwe
Mwenyewe rais mstaafu au familia yake ndio wanachagua sehemu ya kujengewa. Nyerere alijengewa butiama.Sasa ina maana gani ya kutumia mabilioni kuhamishia serikali huko kama wote hawapataki kuishi huko!
Mwenyewe rais mstaafu au familia yake ndio wanachagua sehemu ya kujengewa. Nyerere alijengewa butiama.Sasa ina maana gani ya kutumia mabilioni kuhamishia serikali huko kama wote hawapataki kuishi huko!
Haya mambo yanaenda kisheria na si kimajungu majunguHatimaye serikali imeamua kuanza ujenzi wa nyumba mpya maeneo ya Golden Tulip kwa ajili ya familia ya Maghufuli.
Licha ya kujiuzia nyumba kadhaa jijini DSM, na hata zingine kwa vimada wake akiwa waziri wa ujenzi. Licha kujijengea mahekalu mkoani Geita na kujijengea uwanja wa ndege huko Chato.
Kama vile haitoshi, kodi za Watanzania zimeanza kutumika kumjengea JPM nyumba nyingine pale Golden Tulip kama walivyo wastaafu wengine.
KatibaKwani lile kaburi kule Chato halitoshi mbona Kodi zetu zinatumika kiboya hivi jamani?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Katiba ya CCM ?Ni takwa la kikatiba kwa viongozi wakuu kujengewa nyumba! JPM aliwajengea Mwinyi Mkapa na Kikwete! Ni haki yake na yeye ajengewe! Big up mama tozo anaupiga mwingi!
Nchi hii ni kama ina laana vile!! Mungu alisaidie hili taifa kuna pahala kuna shida kubwa..Mtu aishi Ikulu bure , alipwe mshahara na posho kibao kubwa kubwa, bado na favour nyingine. Still watu wanajengeana nyumba!!! Nchi maskini inaomba misaada kila leo!!!! Stupid.Yaani hii nchi vioja vimezidi,au ni kwa sababu ya upumbavu wa wananchi wengi?Hivi mtu anajengewa nyumba kwani hakuwa anapewa mshahara ?
Kwani mwnzetu ulikuwa dunia ipi na umerudi lini dunia hii .....!!?Mahekalu gan hayo ya geita ?.
Uwanja gan alojijengea ?.
Jamaa ana wivu mpaka kaburi la marehemu analionea wivuUnawivu, mbona wengine waliojengewa huwasemi na wote wana mimali hata kumzidi mwendazake, kasome katiba inasemaje kuhusu maslahi ya viongozi wakuu wa serikali.
ni kweliKama sheria inaruhusu, ni haki yake mkuu. Aliwahi kuwa Rais wetu kama walivyo wengine nyuma huko.