Serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar yalikuwa makubaliano chini ya mwembe hayapo Kikatiba

Shein alitishwa kuwekwa kama Aboud Jumbe! Amekubali yeshe ila rohoni hana amani! Udhalimu wa wazi huo! Dunia na historia haitawaacha! Maji na mafuta hayafungamani hata siku moja! Ni suala la muda tu! Ni suala mtambuka!
 
Back
Top Bottom