Serikali: Tutawafilisi Mafisadi na Wahujumu Uchumi

hatupungi ninyi kufanya hayo. lakini tumegundua yafuatayo:
MSITUFANANISHE WATANZANIA NA MISUKULE, TUNAFAHAMU SANA KINACHOENDELEA...MATAMKO HAYA MENGI LENGO LAKE NI KUWAFUMBA MACHO WACHACHE WAJINGA ILI CHAMA CHA MAQJIPU KIPENYEZE NA KIFANIKISHE 1. UPORAJI WA HAKI YA WAZENJI 2. HILA ZA KUDUMAZA DEMOKRASIA 3. HUBINYA UHURU WA VYOMBO VYA HABAR. KUPENYEZA UTAWALA WA KIIMLA

RAI: WATANZNIA WOTE WENYE KUONA NA KUSHITUKIA MBINU HIZI KWA PAMOJA TUPAZE SAUTI ZETU KUPINGA NJAMA HIZI OVU!!!
Nakubaliana na mwenzangu, kuwa kama hii style ya kusaini na kasha kugoma kuendelea na vikao vya bunge wasilipwe posho yoyote, kwani wananchi hatujawatuma kugoma. Posho wasipewe la sivyo itaonekana wanakwenda kus-sign posho afu wanaondoka, nashauri wasikubali kugoma mjengoni DDM hadi kieleweke.
 
Ishakuwa inchi ya matamko tu from presidaa to followers.Majibu yanajulikana kama mwanga wamchana alafu wanatuambia eti anayejua mali mali za mafisadi asadie hivi za escrow pale stanbank hazijulikani nani kachukua kweli?Wapeleke using wao na serikali yao ya matamko nyuuuu
 
Nawe iqu yako nusu mkate kabisa.Kwani hata wakibaki watabadilisha nn ndani ya bunge wanaongoza bunge niwalewale wakiukaji wa sheria wakubwa nahawaruhusu wafurukute
 
Maadam wamefungua mlango wa wananchi kupeleka taarifa za ufisadi
na mafisadi tunaowafahamu,wananchi tuanze na majaji na mahakimu
tumalizie na mapolisi ambao wanamiliki vitu vikubwa zaidi ya mishahara yao.
Hawa wakishasafishwa tukiwapeleka mafisadi wengine watakuwa hawana watu wa kuwaonga
na hivyo hatua stahiki zitachukuliwa,lakini kwa mfumo tulio nao
mafisadi watumwaga fedha zaidi kwa viongozi wa mahakama na polisi
na hivyo tutaishia kuletewa stories zisizokuwa na mwisho(Isidingo)



Wewe ndio umefikiria na kuwaza mbali sana.
Waafrika wengi akili zao ni ndogo sana ndio maana hata ukoloni umeendelea mpaka sasa kwa mgongo wa wajanja wachache.Na wanasiasa
wanacheza na ujinga wa 80% ya wananchi.

Niliwahi kusema kuwa hapa kuna kamchezo tu ka kubadilishana na kupokezana ufisadi kama haitawekwa sheria ya kusajili mali zilizopo ili ijulikane nani anamiliki nini na amezipataje!! Hapo ndio itakua rahisi hata wachunguzaji wanatakiwa waweke wazi mali zao ili haki itendeke.
Itakua ni dhambi kubwa jipu likitumbuliwa na jipu lililokaribia kuwa kansa.
Inaudhi sana kuona watu wenye mali walizozipata kijanjajanja wakigeuka kuwa watumbua majipu. Ni kweli kuna majipu tutaambiwa yametumbuliwa lakini yataibuka makansa na sio majipu kwani yatakua hayana wakuyagusa ukizingatia wameshaanza kuzuia uhuru wa kupata habari kwa kina.

Kama Magufuli anataka kujenga taifa la kijamaa kulingana na katiba basi ni lazima achunguze mali zote.
Kuna watu wenye mishahara midogo sana lakini wanamiliki majumba,magari, na magest na kusomesha watoto Shule binafsi kwa gharama kubwa. Ndio kuna familia nyingine wamerithi mali lakini tunataka tujue uhalali wa kila mmoja na mali zake akiwa mtumishi wa umma.
Haya yakifanyika hata uhalifu utapungua. Watu wanakwapua na kuibia serikali na haraka haraka wanajenga majumba na kununua magari kwa sababu wanajua hawatajulikana wakiandika kuwa zinamilikiwa na watoto wa miaka 4.

Mpaka sasa sijasikia hata waziri mmoja aliyetangaza mali zake. Ukianzia na akina Makamba Jr,Mwigulu,Mwakyembe na Nape ambao wamejifanya kuwa wanataka kusimamia ujamaa na kujitegemea.
Ujamaa gani unaoongozwa na mabepari?

Nilitegemea mpaka sasa Mali za viongozi ziwe adharani.
Na huu ungekua ni mtihani wa kwanza kwa anayetaka kuwa waziri amteule yeyote wa rais. Lakini wote wameingia kimya kimya na watatoka kimya kimya kama kawaida. Hapa ni kubadilishana tu kwa maana ya kutesa kwa zamu.
 
Utajiitaje mwenye kuona mbali kwa kumshabikia lowasa mwenye background ya ufisadi,na kumuacha magufuli alotakasika kifisadi????Danganya wengine.
hatupungi ninyi kufanya hayo. lakini tumegundua yafuatayo:
MSITUFANANISHE WATANZANIA NA MISUKULE, TUNAFAHAMU SANA KINACHOENDELEA...MATAMKO HAYA MENGI LENGO LAKE NI KUWAFUMBA MACHO WACHACHE WAJINGA ILI CHAMA CHA MAQJIPU KIPENYEZE NA KIFANIKISHE 1. UPORAJI WA HAKI YA WAZENJI 2. HILA ZA KUDUMAZA DEMOKRASIA 3. HUBINYA UHURU WA VYOMBO VYA HABAR. KUPENYEZA UTAWALA WA KIIMLA

RAI: WATANZNIA WOTE WENYE KUONA NA KUSHITUKIA MBINU HIZI KWA PAMOJA TUPAZE SAUTI ZETU KUPINGA NJAMA HIZI OVU!!!
 
Nmesikia eti watumishi wa umma walio na ukwasi watachinguzwa. Hivi wanadhani hizi ni zile enzi za Nyerere watu walikuwa wanaunga foleni kupata sabuni? Siku hizi watu wanafanya biashara zao hata kama ni mfanyakazi, mikopo iko kibao mfano kuna utaratibu wa SACCOS kukopeshwa na PPF halafu wanasaccos wanakopa mara 5 ya akiba yake. Ukiwa na milion 6 unakopeshwa mil 30. Kama huyu ni mfanyakazi kwa nini asiwekeze? Haya ni mambo ya kizamani sana. Sio wafanyabiashara tu wanatakiwa kuwa na mali.
Mtatumbuliwa tu, subiri muda wako!
 
natilia m
Chuki hazisaidii, ungesema watende haki kwa wote. Mtu aadhibiwe kwa kosa alilofanya.
nimeipenda hii mkuu....wasiwasi wangu ni ikiwa kweli wanaweza. maana mafisadi nchi hii either ni maswahiba wa ikulu au watumishi wa serikali (hata hao wanaotishia kufilisi) wanaweza kuwa walipewa nafasi hizi au waliteuliwa kwa kujuana juana ambao nao ni ufisadi au kwa influence ya mafisadi...
 
Nauli za mabasi na daladala zimepanda? Nauli za meli nazo zimepanda? kama hilo halipo basi mfumuko wa bei hakuna hayo mengine maigizo hebu nichambulie kwa ufasaha bila jazba wala ushabiki kufutwa kwa matokeo ya uchazi kumesababishaje kupanda kwa vitu??? Nakuomba unielewshe pengine kwa ujinga wangu sielewi. Maana sioni uhusiano wa tangazo la Jecha na biashara KWA MFANO SUKARI ILIKUWA INAUZWA SHILI ELFU MOJA JECHA ALIVYOFUTA MATOKEO ASUBUHI MFANYA BIASHARA AKASEMA LEO SUKARI NI ELFU MBILI NA WOTE WAKAFANYA HIVYO MKUU INAWEZEKANAJE HILO NISAIDIE???
Kuna ile Hali ya wasiwasi ambayo watu wanakua nayo kwamba pengine itatokea fujo nk , hali hii huwafanya wafanya Biashara kupunguza na wengine kuacha Biashara hadi Uchaguzi uishe , Hali hii husababisha upungufu wa bidhaa Sokoni na kupelekea mfumuko wa Bei .
 
Back
Top Bottom