shujaa mjinga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 376
- 443
Hujitambui wewe na siku ukijitambua utakuwa umeshachelewaAcha ndege inunuliwe ,
Mbona, Tanzania mnalalamika Sana.
Mfano, kila siku kila mahala, (wengine wamehamia USA wanaitukana serikali na nchi iliyowalea hadi wakaelewa kuoga na kuvaa) watanzania wengi huwa mnapenda kujilinganisha na nchi Kama USA na zile za ulaya.
Hapo USA, Trump kaingia WH, kaomba Air Force One mbili zitengenezewe Kwa ajili ya ikulu /uongozi wake.
Sasa, mbona mnalalamika pale nchi yetu na viongozi wakiiga kutoka nje ya nchi, Kama hilo la kununua ndege ya Rais !?
Mbona mengine, mnatoa mifano na kuandika makablasha makubwa-makubwa na kuongea hadi mate yanawakauka kwa kutoa mifano toka huko USA na ulaya!
Acheni unaaaa aiseeeeh (In Mrema's voice )