Sekta ya madini imezalisha ajira 19,874 kutoka kwenye Kampuni za uchimbaji ambapo kati ya hizo 19,371 ni Watanzania sawa na asilimia 97.5 na 503

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
1,402
903
Sekta ya madini imezalisha ajira 19,874 kutoka kwenye Kampuni za uchimbaji ambapo kati ya hizo 19,371 ni Watanzania sawa na asilimia 97.5 na 503 ni wageni sawa asilimia 2.5 ya ajira zote zilizozalishwa.

Vilevile, Jumla ya bidhaa zenye thamani ya Dola za Marekani (USD) 3,780,161,183.28 ziliuzwa na kusambazwa migodini ambapo kati ya bidhaa hizo Kampuni za Watanzania zilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya Dola za Marekani (USD) bilioni 3.46 sawa asilimia 91.68 ya thamani ya mauzo ya bidhaa zote na huduma zilizotolewa migodini.
 

Attachments

  • IMG-20250313-WA0002.jpg
    IMG-20250313-WA0002.jpg
    301.5 KB · Views: 0
Back
Top Bottom