Historia za uchochoroni hizi! Sultan Seyyid Said ndiye aliyehamisha makao yake kutoka Muscat, Oman kwenda Zanzibar mnamo 1840. Hiyo ya kwako unaijua mwenyewe na mwalimu wako alokufundisha.Qatar wakiona ovyo wanaweza kuamua tena kuhamishia makao makuu ya nchi yao Zanzibar kama alivyo fanya babu yao! Hakuna atayewabugudhi binamu yao yupo kule!
Kumbuka sio wazungu wote waliofurahia Qatar kushinda uwenyeji , ndio kulikuwa nyingi , kutoka uingereza na US ,blatter alijitoa muhanga kuleta fairness,Aisee wanatofautiana waarabu, wanalaumiwa wazungu!! Sasa waliopanga ilo kombe la dunia lifanyike Qatar sio ndio hao hao wazungu, wakina sepp blatter. Mbona mnapenda kutafuta wa kuwasingizia matatizo yenu nyie waarabu weisi?
KARMAMkùu na ndivyo ilivyo yaan damu ya gadafi haitawaacha salaama njama za kuuangamiza utawala wa ghadafi ulifanyikia hapo qatari na sasa naona ni zamu yake sasa kuonja shubiri
Kuwait ndio mshulishi , ukingalia kisa ni kwann Qatar ana uhusiano wa karibu na iran , saudi anataka awachagulie watu marafikiTayari Qatar wameomba mazungumzo kumaliza mzozo
$130,000 per capital income Qatar hasNdio nazungumzia per capital income
Hapo hakuna mzozo wa maana , ni wivu wa saudis kwa Qatar , Qatar has supplies massive Liquefied natural gas so they get much money from that,since they enjoy low extraction cost while Saudis incur high cost of buying or extraction cost of LNG, Saudis wants to buy LNG at discount price from Qatar, but Qatar rejects the deal, remember that there huge demand for LNG since it usefully for electricity production, Saudis to call Qatar as financing of terrorism, is a like a case of pot calling a kettle blackTayari Qatar wameomba mazungumzo kumaliza mzozo
Kaka
Kaka umeongea point saana , hila nafikiri raia wa saudia ni wajinga saana , kwa nn utawala wa kifalme wa saudi usiondolewe ?
Ok daah noma saanaWanajaribu sana bila mafanikio, internal security ya Saudia ni mahili sana sana mtu unaweza kufikiri labda watoto wanafundishwa kupeleleza mpaka wazazi wao!! Wahusika wakikamatwa wanakatwa vichwa kwa jambia sijui kama hata wanafikishwa mahakamani na adhabu hiyo utekelezwa adhalani ili wawatie hofu wenye raia wenginw wenye nia/lengo la kutaka kujaribu tena kuondoa madarakani ukoo wa Kifalme.
Haya ni maoni yako swali ni je???
Ina maana Saudia na wenzake hawajui haya uliyoandika hapa??
Huyo blatter ni mwarabu? Sasa kwa nini uli uliwajumuisha wote? Unaamini Qatar ilishinda bila hata kura moja ya mzungu? Au waarabu wote waliipigia kura? Ni upumbavu wenu kama utapigana na mdogo wako afu ukiulizwa unasema mbaya jirani ndo katugombanisha... hapo ndo naona kama vichwa vya hao unaowatetea vinamatope badala ya ubongoKumbuka sio wazungu wote waliofurahia Qatar kushinda uwenyeji , ndio kulikuwa nyingi , kutoka uingereza na US ,blatter alijitoa muhanga kuleta fairness,
Nani kakuambia nimewajumuisha wote , onyesha hiyo sentensi inayosema wazungu woteHuyo blatter ni mwarabu? Sasa kwa nini uli uliwajumuisha wote? Unaamini Qatar ilishinda bila hata kura moja ya mzungu? Au waarabu wote waliipigia kura? Ni upumbavu wenu kama utapigana na mdogo wako afu ukiulizwa unasema mbaya jirani ndo katugombanisha... hapo ndo naona kama vichwa vya hao unaowatetea vinamatope badala ya ubongo
Imezuia kwa muda kupeleka wafanyakazi wapya na si venginevyo.Qatar Airwaya wamenyanganywa Leseni ya Kuruka Saudi
Phillipines wamepunguza wafanyakazi Qatar
Qatar itadondoka tu
Umedhihirisha akili zako za kike kwa QUOTE Uzi wa kitoto!!!....Akili za kitoto kabisaa.......
LaBda tuweke radio mbao. Tusikikize wote.Hapo hakuna mzozo wa maana , ni wivu wa saudis kwa Qatar , Qatar has supplies massive Liquefied natural gas so they get much money from that,since they enjoy low extraction cost while Saudis incur high cost of buying or extraction cost of LNG, Saudis wants to buy LNG at discount price from Qatar, but Qatar rejects the deal, remember that there huge demand for LNG since it usefully for electricity production, Saudis to call Qatar as financing of terrorism, is a like a case of pot calling a kettle black
Yani huyu mchina hata simuelewi kabisaSasa naona baba anamrahisishia mtoto barrier middle east! Barrier kwa mtoto zimebaki mbili Pakistani na Iran ...sasa mtoto ataingia mpaka chumbani Tegemeeni US kukua kiuchumi maana atasema nasululisha mgogoro ...hii MAGA lazma itimie tu... republicans sijuw wakoje. Bila Putin saiv anga la Middle east na Pacific lingekua jeusi...china muoga sana.
Uko vizuri sana mkuuNilijua utafikiria hilo , mimi ni sunni , sema sijali saana hayo matabaka ,kwa hiyo kama unaisapoti saudi kwa sababu ni sunni basi umeliwa ,tuache ubaguzi sisi sote ni wamoja , kama issue ingekuwa sunni na shia basi Qatar hasingegombana na saudi kwani wote ni wasunni wanaofuata salafi version ,kwa hiyo lets focus to the matter , binafsi wanauonga mkono iran naona hawa jamaa zetu wa sunni wametuangusha saana kazi yao kujipendekeza kwa US hili wasitolewe madarakani huo ufalme wa saudi unaosifu ww , ingekuwa iran anajali usunni na ushia hasingewasapoti palestine kwani wengi ni sunni, hao saudia umesikia hata sikumoja hakiikemea israel kwa jinsi inavyowafanjia wapalestine
Mkimaliza kuwaua wakristo, mtaanza kuana wenyewe wa shia wataua wahamadia na wakiisha wataanza kuuana wafupi na warefu na wakiisha wataanza kuana wanene kwa wembamba na wakiisha wataanza kuana wake kwa waume na wakiisha wataanza kuuana wenye vibamia na wenye mua.. Mwisho wa siku waliobaki watakua mashoga, mana itabidi waanze kubanduana makaratasi walioyabandika wenyew.Yaani wameanza kufarakana wao kwa wao tena badala ya kuungana!!!!