ecolizer baba
Member
- Sep 29, 2010
- 88
- 310
Wadau Amani kwenu.
Nianze kwa kuwatakia wakenya wote maandalizi mazuri ya Uchaguzi hapo October 26.
Sasa ni wazi kabisa kuwa muungano wa NASA umeshasambaratika. Baada ya Raila kukimbia kushiriki Uchaguzi sioni tena zile press conference za pamoja alizokuwa akifanya huku Kalonzo MUsyoka na Musalia Mudavadi wakiwepo. Sahivi press zote za hiyo inayoitwa NASA zinafanywa na Orengo na Moses Wetangula. Sijui nini kimewakuta Mudavadi na Musyoka. Lakini kilichopo ni dhahiri; hawafurahishwi na mwenendo wa NASA kwa sasa kwa kuwa inaonekana kuwa wanaburuzwa.
Nianze kwa kuwatakia wakenya wote maandalizi mazuri ya Uchaguzi hapo October 26.
Sasa ni wazi kabisa kuwa muungano wa NASA umeshasambaratika. Baada ya Raila kukimbia kushiriki Uchaguzi sioni tena zile press conference za pamoja alizokuwa akifanya huku Kalonzo MUsyoka na Musalia Mudavadi wakiwepo. Sahivi press zote za hiyo inayoitwa NASA zinafanywa na Orengo na Moses Wetangula. Sijui nini kimewakuta Mudavadi na Musyoka. Lakini kilichopo ni dhahiri; hawafurahishwi na mwenendo wa NASA kwa sasa kwa kuwa inaonekana kuwa wanaburuzwa.