Sasa ni dhahiri, NASA=ODM and not otherwise. Kalonzo Musyoka huenda akaachana na Muungano huo

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Wadau Amani kwenu.

Nianze kwa kuwatakia wakenya wote maandalizi mazuri ya Uchaguzi hapo October 26.

Sasa ni wazi kabisa kuwa muungano wa NASA umeshasambaratika. Baada ya Raila kukimbia kushiriki Uchaguzi sioni tena zile press conference za pamoja alizokuwa akifanya huku Kalonzo MUsyoka na Musalia Mudavadi wakiwepo. Sahivi press zote za hiyo inayoitwa NASA zinafanywa na Orengo na Moses Wetangula. Sijui nini kimewakuta Mudavadi na Musyoka. Lakini kilichopo ni dhahiri; hawafurahishwi na mwenendo wa NASA kwa sasa kwa kuwa inaonekana kuwa wanaburuzwa.
 
FB_IMG_14854552692343183.jpg
 
Back
Top Bottom