Sarakasi na majigambo ya wahitimu wa UDSM

Pole sana kilaza wewe

UDSM ni state university, kuwa na adabu
ulifeli form six ukakimbizwa vyuo vya kata
Sidhani kama upo sawa kwangu mimi chuo ni choice ya candidate mwenyewe na sio kufuata mkumbo wa watu. Mfano linganisha havard na California institute of tech ingekuwa bongo ungeona wanafunzi wengi wanakimbilia havard kwa ajiri ya jina kubwa lakini kwa wenzetu ni tofauti and the likes.
 
Watanzania Wengi Wana Ugonjwa mmoja, yaani wanapokitaka au labda kuwahi kukitaka na wakakikosa basi kinachofata they Gonna Hate it..Ndivyo ilivyo hata kwa upande wa chuo kikuu cha DSM yaani UDSM unakuta wengi wao ni wale waliokuwa wanakipenda wakakikosa basi wanaamua kukichukiaa..! Jiulizeni je TZ nzima Chuo ni UDSM pekee? Basi kama sio kwanini Muda wenu Mwingi Mnapoteza Kukipondea Ichi Chuo na kwa Historia Wale Toppers Ndo wanakuja Hapa...je How wanakuja kuwa vilaza tena?? as i know hapa UDSM hakuna GPA za kupewa yaani zote unahusle wenyewe hata mimi Nipo Hapa na am very compintent...Kwahiyo Ndugu zanguni Watanzania embu Tusipoteze muda wetu katika chuki na wivu bali tuwekeze Muda wetu katika Hali na namna ya Kuiboresha elimu ya vyuo vyetu vikuu viwe katika hali na mazingira boraa Maana ata nyinyi mkidic na kuchukia udsm we are still the Best

Nawasilisha kwa Niaba ya UDSM CoEt
 
Watanzania Wengi Wana Ugonjwa mmoja, yaani wanapokitaka au labda kuwahi kukitaka na wakakikosa basi kinachofata they Gonna Hate it..Ndivyo ilivyo hata kwa upande wa chuo kikuu cha DSM yaani UDSM unakuta wengi wao ni wale waliokuwa wanakipenda wakakikosa basi wanaamua kukichukiaa..! Jiulizeni je TZ nzima Chuo ni UDSM pekee? Basi kama sio kwanini Muda wenu Mwingi Mnapoteza Kukipondea Ichi Chuo na kwa Historia Wale Toppers Ndo wanakuja Hapa...je How wanakuja kuwa vilaza tena?? as i know hapa UDSM hakuna GPA za kupewa yaani zote unahusle wenyewe hata mimi Nipo Hapa na am very compintent...Kwahiyo Ndugu zanguni Watanzania embu Tusipoteze muda wetu katika chuki na wivu bali tuwekeze Muda wetu katika Hali na namna ya Kuiboresha elimu ya vyuo vyetu vikuu viwe katika hali na mazingira boraa Maana ata nyinyi mkidic na kuchukia udsm we are still the Best

Nawasilisha kwa Niaba ya UDSM CoEt
Una uhuru wa kuandika unachokifiria based on your IQ mimi nimesoma na watu waliomaliza udsm mamtoni ilikuwa aibu kupanda kwenye podium kufanya presentation ana shake mwanzo mwisho na wazungu wanaishia pardon several times and the likes. Jaribu kupata exposure don't narrow your mind.
 
Una uhuru wa kuandika unachokifiria based on your IQ mimi nimesoma na watu waliomaliza udsm mamtoni ilikuwa aibu kupanda kwenye podium kufanya presentation ana shake mwanzo mwisho na wazungu wanaishia pardon several times and the likes. Jaribu kupata exposure don't narrow your mind.
wewe Mwenyewe Mzembe kweli kumbe unazungumzia Presentation
 
Kwa hotuba iliyotolewa na waziri mwenye dhamana ya michezo leo inadhihirisha kuhusu elimu yetu kama taifa
kujisifia lkn hatuoni tangible projects zenye kuleta mapinduzi chanya kwenye jamii miaka 100 itafika bado wimbo ule ule chuo bora bila tangible impacts
 
Nilifikir ni mm tu ndie mwenye kuhisi hii issue kumbe tuko wengi kiukweli hata walimu wao wamo wengine vihiyo na ndio maana wanakifanya kiwe kigumu kuingie ili kionekane kiko vizuri ila ni majanga matupu bora ukasome vyuo vidogo vidogo venye majina ya kawaida utatoka uko vizuri kuliko pale
nadhani wanafunzi wa sasa wa udsm wanatakiwa wapate exposure hata hapa hapa vyuo vya EA wajione wako wapi kwa sasa
 
competent ya mtu hupimwa kwa maneno inapimwa kwa flow of facts kama hujui utaongea nini unaishia sifa za kijinga tu. Nina wasiwasi IQ yako ni substandard
sina Haja ya Kubishana na wewe Maana hauezi tambua impact yangu
 
nina uhakika wewe ni Maskini...uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno kuliko ata punje la Mchele
 
Daaaaa nimesikitika kusikia mbwembwe zenu wasomi naomba jambo moja mhimu mnisaidie, aliye soma UD au st. Nani university, mme saidiaje jamii ktk nyanja mbali mbali ili kusukuma maendeleo ya taifa hili baada ya chuo!?

Mi sijabahatika kuwa na elimu ya juu ila nina hamasisha wananchi kufanya Kaz kwa bidii kupitia nafas yangu ya mwenyekiti kijiji
 
Ilikuwa zamani jamani, umri! mbwa mzee/asiye na meno kwa mkwara usiseme! Angalia mashindano ya vyuo vikuu jamaa wanakuwa mbelembele kuaga!
 
udsm bhana inawatoa watu mapovu..kama hamkuchaguliwa sio lazma mu-hate
pale hawachukui vilaza
mwanzon walianza kulalamika wamachaguliwa kiupendeleo Mkandara akaona isiwe shida akawa anaweka matokeo ili ujue kwa nn ulikosa
saa hv mmekuja kujifichia kwenye kivuli cha wahitim hahaha haya bhana
 
Back
Top Bottom