Salute Kwa Mabroo!

mdogo wangu nakushauri uende buguruni pale kuna sehemu inaitwa kimboka utapata hizo voda fasta fasta kwa jero hadi buku kulikoni hizo pasua kichwa za vyuo, pia unaweza ukaunganishwa na mitandao yote ya tigo na voda tena yenye kasi ya 4G kwa gharama ndogo tu kuanzia buku mbili hadi buku tano, uzuri wa pale ukishamalisha kifurushi/vifurushi vyako unaruhusiwa kujiunga na mitando mingine bila wasiwasi. tigo na vodacom!! kazi ni kwako!.
 
Haaha pole dogo soma kaZa buti waache wakubwa wafaidi ikifika zamu yako na ww utafaidi(kutesa kwa zamu )
Btw nimependa ulivyomalizia uzi wako eti "kutembelea ma**ko haaaha
Kutesa Kwa Zamu Ndo Maana Saivi Nawaangalia Tu Michezo Yao.
 
AhahhahaH kama se sio mdau wa hayo mambo hata uwe na gari hutaenda kuwagonga....tushapitia mazingira hayo unawexa kuwa na gari ukawa mstaarabu tu....waaachr wagonge tu hao wengine usijilinganishe........na mademu acha wagongwe tu maana wanawashwa na fantasy pia...
Hahaha. Mkuu Umewezaje Kuvumilia Aisee. Mie Ntawafyatua Tu Maana Hamna Namna.
 
HAHHHHAHAHAH watu wanatembea na air flesher unadhan mchezo? unatoka kufanya mambo yako mara mshikaji kakunyooshea mkono anataka lift kumpigia tinted usimchukue itakua soo unaamua kupulizia tuu kisha unamgei lift haaoo maskan
Dah Yan Unapanda Gari Unakuta Harufu Za Orgasms. Magari Nayo Yana Siri Nyingi.
 
Vijana wengi wengi bado hawajui thamani ya muda na jinsi ya kuutumia vyema........
Vijana wengi waliopata bahati au fursa za kupata elimu ya juu hawajui kuwa hiyo ni nafasi adimu sana kwenye maisha yao hasa kwenye hizi nchi zetu za kiafrika kwani siku ukifunguliwa macho na kuona vilio vya watu waliokauka machozi kwa kuiokosa nafasi hiyo adimu au majuto ya watu wanaoteseka maishani mwao kwa kuichezea bahati hiyo adimu....sidhani kama kuna kijana angekuwa anakuja kuandika ujinga angali bado yupo masomoni.........

Kimsingi ni kuwa kila jambo linafanywa kwa wakati wake....hivi vitu vinavyokutoa udenda na kukuumiza moyo ni vitu vidogo sana kwenye maisha na pia huu sio wakati wake.....lakini vile vile kujihakikishia upatikanaji wa vitu hivyo ambavyo wewe unaviona kuwa ni vya msingi kunategemea na juhudi zako katika kulifanya hili la wakati huu vyema zaidi.....

Muda ni rasilimali adimu sana na ni rahisi kuipata lakini gharama za kuupoteza hazilipiki...kwani ukishaupoteza kinachofuata ni majuto.....
Umenena Mkuu Most Hawajitambui Aiseee.
 
Soma dogo,upate GPA ya 5,,acha kufuatilia lyfe la watu
Hapa Kitivo Walivyokua Na Ukiritimba Ukipata Ya 5 Unaweza Mtihani Wako Ukatumwa Hadi Harvard Ukasahihishwe Tena. Wa Mwisho Kupata First Class Mwaka 1994.
 
Back
Top Bottom