Baada ya RC Makonda kutaja majina ya watu maarufu hadharani kwa kuwahusisha na madawa ya kulevya, faida zifuatazo zimepatikana na zitapatikana:
1. Ubaya wa kumtaja mtu kwa tuhuma hadharani pasipo uthibitisho
2. Wanyonge waliotajwa hadharani kujua haki zao kikatiba
baada ya kuwataja watu maarufu akiwemo mwenyekiti wa Chadema
3. Wakuu wa Mikoa kujua mipaka yao na namna ya kushughilika na Mambo mbalimbali katika Mikoa yao
4. Nguvu ya Bunge katika kuwadhibiti viongozi wateuliwa na kuilazimisha mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi
5. Ongeza faida zingine kwa mwendelezo huo kabla hatujaangalia upande wa hasara zake
1. Ubaya wa kumtaja mtu kwa tuhuma hadharani pasipo uthibitisho
2. Wanyonge waliotajwa hadharani kujua haki zao kikatiba
baada ya kuwataja watu maarufu akiwemo mwenyekiti wa Chadema
3. Wakuu wa Mikoa kujua mipaka yao na namna ya kushughilika na Mambo mbalimbali katika Mikoa yao
4. Nguvu ya Bunge katika kuwadhibiti viongozi wateuliwa na kuilazimisha mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi
5. Ongeza faida zingine kwa mwendelezo huo kabla hatujaangalia upande wa hasara zake