monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,762
- 13,424
Kwani Mh.Rais kasi yake ni kilometa ngapi kwa saa ili tuende nae sawa!
Dalili za kuhitaji kupimwa afya yako, hasa kwenye akili.Muulize Mashinji, labda ana jibu sahihi toka ufipa.
Watu wanaajibishwa unashangaa. Wafanyakazi wa Serikalini wamezidi uzembe.
Mjombo ww ni noma. Wizara mbili mpya hizi umewapatia kwelikweli.Upo sawa mkuu yule ni wa vyerehani vinne huyu ni wa Coro show
100km/hr forward, 150km/hr backwardsKwani Mh.Rais kasi yake ni kilometa ngapi kwa saa ili tuende nae sawa!
Walikuwa wako busy na ukuta wa Mererani.Hatujuiundani wake hatuwezi kulaumu au kupongeza lakini ni muhimu kuweka tahadhali. Huyowa maghala inawezekana kabisa serikali haijawahi kupeleka fedha zaukarabati miaka mingi.Bajeti ya kilimo mwaka jana ilipelekwa kidogo sana wanaopanga priority yamatumizi utakua si yeye lakini tena ndio hivyo. Hii inanikumbusha utumbuaji wa mkurugenzi wa muhimili kwa kuwa MRI ilikuwa mbovu kwamuda mrefu kosa likajajulikana kuwalilikuwa wizarani tena ya fedha.
Viwanda vipo mdomoni Kwa Mwijage,kwa hiyo huyu Kakunda inabidi amfuate Mwijage ampe funguo za Viwanda.Douh.mid nilidhani korosho zinaanza banguliwa shortly baada ya kununuliwa kumbe viwanda vyenyewe hakuna looh?
Mimi najibu swali wewe unaanza oh dalili sijui nini. Acha kuweweseka.Dalili za kuhitaji kupimwa afya yako, hasa kwenye akili.
Niamini watu smart (siongelei certificates tu) wameachia ngazi Serikalini wanafanya biashara au wameajiriwa kwenye makampuni makubwa nje na ndani ya Tanzania. Wale waoga na wenye vyeti vingi lakini results zero wamejaa huko.Siyo! Unateua wabovu wasimamie walio smart!
Acheni kuwanyooshea wateule tu hata hao wanaosimamiwa ni majipu tu.Siyo! Unateua wabovu wasimamie walio smart!
![]()
Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa - Mtanzania
Mtanzania Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa -mtanzania.co.tz
Ndiyo taabu ya kuoa vitoto vidogo uzeeni!! Yeye kaoa katoto mwaka jana anadhani wote tuna matatizo kama yake!!![]()
Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa - Mtanzania
Mtanzania Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa -mtanzania.co.tz
kwahiyo ndiyo maana WAMEWAPORA WATU KORPSHO ZAO ILI WARUDISHE HIYO HESHIMA?![]()
Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa - Mtanzania
Mtanzania Waziri asema ulaji wa korosho unarudisha heshima ya ndoa -mtanzania.co.tz