GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,420
- 120,741
- Thread starter
- #41
Katuni mbona una mdomo sana,kila kitu lazima u provoke,hivi kujifunza kupost Humu ndani tayari umeshajiona genius na umefaulu kila mtu kwako hab a akili wewe ndio unazo, nenda kwenye forums za wale wanaozungumzia masuala ya nyuklia na bone marrow transplants uonyeshe ujuaji wako,sio huku,inaonyesha nyie ndio wale waliokuwa wakilipia E-mail address.Unaposema Tu HABARI Jua Ya Kwamba Kuna Ambayo Ni " CLASSIFIED " Na " FREE TO THE PUBLIC " Na Ungekuwa Umekwenda Kweli Shule Ungegundua Tu Kuwa Hata UZI Wangu Nilivyouandika NIMEUFUMBA Mno Na Hiyo Ingetosha Kukuridhisha Wewe Kuwa Hii Kitu Ni " NYETI " Ila Yawezekana " PANZI BRAINS " Idadi Yenu Imeongezeka Humu Sasa Mnatusumbua Sisi Ma Great Thinkers. Hivi Shule Zenu Mnategemea KUZIFUNGUA Lini Mpungue Humu?
Huwezi Jua Labda Wameyamaliza Kiaina au Kimtindo.
Wewe
Katuni mbona una mdomo sana,kila kitu lazima u provoke,hivi kujifunza kupost Humu ndani tayari umeshajiona genius na umefaulu kila mtu kwako hab a akili wewe ndio unazo, nenda kwenye forums za wale wanaozungumzia masuala ya nyuklia na bone marrow transplants uonyeshe ujuaji wako,sio huku,inaonyesha nyie ndio wale waliokuwa wakilipia E-mail address.
Acheni kuwachafua watu msimtaje n/wazir ni mtu mwenye integrity ya ari ya juu
Weka picture ya hilo beautifully toto,,,na mm nijipe 3year
Nilijua tu kuna la ziadaLile sakata lililomuhusisha Naibu kiongozi mmoja wa masuala ya kibaiolojia, Mr. Thursday Napigwangwala na msimamizi mmoja wa masuala hayo hayo Mr. Week Year juu ya huduma zake kumbe wala halihusiani na taaluma au ueledi wa hapo bali ni masuala tu ya kimapenzi a.k.a mahaba.
Inasemekana kuna totooz moja ya maana Mr. Thursday Napigwangwala katumia miaka mitatu (3) kuitongoza huku akitoa ofa kadhaa na bado hakuona ndani lakini ni totooz hiyo hiyo Mr. Week Year katongoza kwa saa 72 tu kamaliza kazi.
Hili tukio sasa limenifanya niamini kuwa kumbe 85% ya mabifu ya sisi wanaume huwa ni malavidavi na hizo 15% zilizobaki ni masuala tu ya mshiko.
Naomba mwenye ukweli zaidi kuhusiana na hili la Mr. Thursday Napigwangwala na Mr. Week Year atujuze zaidi tafadhali.
Una uhakika?Hahahahaaa kumbe?Hivi hili sakata limeishia wapi?
Ila wanaume hawana maana jamani!Huyo Mr. Thursday si anasifika kwa kuwa na wifey bomba?
Fitina!
Hivi bongo hii kuna demu kweli wa kumsumbua mtu miaka mitatu????
Labda kama huna hela!!!!
Maandazi sisi kama nyie watoto wa haramu hata mkitiwa kwenye chupa lazima mtoe kidole, angalia uwepo wangu Humu ni lini nadhani kipindi mm najiunga na jf wewe ulikuwa..........!,usitegemee kila mtu ana ujuba kama huo wako, halafu huoni aibu mwanamme mzima unazungumzia mambo ya kuonewa wivu, labda kwa jinsi Ulivyo cheupe, ndio unaringa na hiyo figa matata uliyojaaliwa?ID Yangu Ni BRAND Humu Muda Mrefu Mkuu Na Wala Sina Haja Ya Kuhangaika Kujipigia Promo Isipokuwa Na Wewe Pia Nakushauri Kuliko KUONYESHA WIVU ULIOTUKUKA KWANGU Kwa UPOPOMA Uliouonyesha Ktk Post Yako Hii Hebu Jaribu Na Wewe Kuibrand ID Yako Angalau IJULIKANE Na Hata Siku Ikitokea Watu HAWAJAKUONA Humu WAKUULIZIE. Na Ktk Uwepo Wangu Mfupi Tu Humu JF Sijawahi Kuiona Hii ID Yako Ambayo Hata Hivyo Kwa Kilugha Cha Kwetu ID Yako Inamaanisha " Tukuchambe Kama Siyo Tukutawaze ". Muwe Mnaangalia Kwanza Na Aina Za ID's Mnazozitunga Na Kuja Nazo Humu Zingine Zinawavueni Nguo Wenyewe Bila Kujijua. Pole Sana!