Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,652
- 71,012
- Thread starter
- #41
Asante nashukuru kwa kuwa umejifunza mkuuFacts tupu, Mie nimejifunza kitu hapo kwa kweliii
Asante nashukuru kwa kuwa umejifunza mkuuFacts tupu, Mie nimejifunza kitu hapo kwa kweliii
yeah trueNi kweli kabisa!
Huyu jamaa kumbe ni great thinker kiasi hiki!!
sana mkuuSomo zuri
Kwa nini mkuu?Na hayo yote ndio mwanzo wa umasikini wangu
Shukrani sana mkuu, zidi kujifunzaWe jamaa tungekuwa tunafahamiana ningesema unanitangaza!
Umenena vema, hongera sana!
mbona unafurahi
una tabia ya kutoa kuzidi uwezo wako?? Jibane kwa manufaa lakini mkuuKweli mkuu mimi no 3 inanihusu.... ha haa haaa... ngoja nibane kuanzia sasa...
Hivi ndio Asante kwa kiswahili ee??ulakoze
pamoja mkuu
Yeah, wengine tujifunze kupitia hapa mkuuNikweli kabisa.wapo watu WA namna hyooo
We jamaa tungekuwa tunafahamiana ningesema unanitangaza!
Umenena vema, hongera sana!