RwandAir inabidi mjirekebishe. Malalamiko dhidi yenu ni mengi

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
May 10, 2021
611
829
Wadau habari nimekutana na malalamiko yakihusu shirika la ndege la Rwanda kwamba ni wababaishaji sana katika safari zao

Usalama wa mizigo ni mdogo pia ratiba zao hazieleweki

Aidha huduma kwa ujumla ni mbovu abiria wanasumbuliwa mara kwa mara kupekuliwa kama wahalifu kubadilishiwa siti za kukaa bila maelezo yoyote, hivyo ni shirika lisilofaa kusafiri nalo


1258825478.jpg
 
Utakuwa unamatatizo makubwa sana wewe kijana. yaani hujatumia hilo shirika lakini umewashwawashwa sana mpka unakimbia kufungua uzi. Kuna msemo unasema "never judge from what you hear" uzingatie sana
 
Wadau habari nimekutana na malalamiko yakihusu shirika la ndege la Rwanda kwamba ni wababaishaji sana katika safari zao

Usalama wa mizigo ni mdogo pia ratiba zao hazieleweki

Aidha huduma kwa ujumla ni mbovu abiria wanasumbuliwa mara kwa mara kupekuliwa kama wahalifu kubadilishiwa siti za kukaa bila maelezo yoyote, hivyo ni shirika lisilofaa kusafiri nalo


View attachment 3313027
NI KWELI KABISA 100%, Moja ya shirika la ndege la hovyo sana duniani, nimesafiri nao mara moja na sitarudia tena katika maisha yangu. Transit walituweka Kigali kwa siku 3, yalioelezwa yote hapo ni ukweli mtupu. Rwandair is overrated hamna kitu pale, nadhani hata hako ka nchi ni PR tu lakini ukweli ni ka hovyo sana kutokana na picha niliopata kwa siku tatu pale Kigali nikiwa transit kwenda Dar.
 
NI KWELI KABISA 100%, Moja ya shirika la ndege la hovyo sana duniani, nimesafiri nao mara moja na sitarudia tena katika maisha yangu. Transit walituweka Kigali kwa siku 3, yalioelezwa yote hapo ni ukweli mtupu. Rwandair is overrated hamna kitu pale, nadhani hata hako ka nchi ni PR tu lakini ukweli ni ka hovyo sana kutokana na picha niliopata kwa siku tatu pale Kigali nikiwa transit kwenda Dar.
Ni kweli wanashida hiyo sometimes lakini kuna vitu positive kiasi kama kuwekwa kwenye 3 or 5 star hotel kwa walio in transit
 
Ni kweli wanashida hiyo sometimes lakini kuna vitu positive kiasi kama kuwekwa kwenye 3 or 5 star hotel kwa walio in transit
Mkuu kukaa kwenye 3 or 5 star hotel sio dhumuni la wasafiri , watu wanataka kuwahi issues zao kutokana na walivyojipangia sasa uniweke kwenye hotel ya nyota 3 au 5 itanisaidia nini wakati nakua nimenipotezewa muda wangu na umevuruga ratiba zangu. Rwandair is real shiit, I will never fly with them again.
 
Back
Top Bottom