Pre GE2025 DSM Rose Mayemba: Tumetoka Keko, Lissu hayupo na Magereza hawajui alipo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Heparin

JF-Expert Member
Sep 24, 2021
263
1,358
Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba:

Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!.

Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini aondolewe kwa siri?

INATIA HASIRA SANA!.

1000316013.jpg


Pia soma DOKEZO - Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?
 
Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba:

Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!.

Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini aondolewe kwa siri?

INATIA HASIRA SANA!.

View attachment 3309217

Pia soma DOKEZO - Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?
Kiusalama kwakua ni weekend ndefu lazima wamtoe kwakua usngalizi unakua mdogo,atakua salama tu ilakiusalama lazima awekwe sehemu ya siri sikukuu zikiisha utamsikia tu
 
Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba:

Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!.

Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini aondolewe kwa siri?

INATIA HASIRA SANA!.

View attachment 3309217

Pia soma DOKEZO - Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?
Elizabethi Msemaji wa Magereza jana kasema yuko Hapo.
 
Back
Top Bottom