Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,651
- 71,008
Maisha kambi popote
nimetumia jina kaka sorry nadhani utakua She kulingana na cover name yakoShida sana,me tangu niligundue hilo siwalaumu viongozi hiki kizazi kikipotea ndo Tanzania itasonga mbele.
Haha she huwa hatujali kuitwa me ila angekuwa me mngeshikana mashati hapa..nimetumia jina kaka sorry nadhani utakua She kulingana na cover name yako
Kwa siku mojaShule ni ya serikali? if yes, kumbe ajira zimetoka!!!!
Noma sana asee, Noah tu kasalim sasa hyo Defender ingekuaje?!!Lete Noah
Walioelewa ni wachache sana aiseeAmesema anaenda kufundisha pindi moja tu Leo kama kujikumbusha kazi aliyokuwa akiifanya.
Mkuu umeisoma taarifa nzima..?nshajua atakuwa afisa elimu soon
Watu wengi tulichosoma sio tunachokifanya
Alishamtaja mtekaji wake?