Roma itisha press conference yako, hii ilikuwa ya waziri

Watanzania ni wanafiki sana jitu lipo na fake ID linakazana Roma aseme ukweli.

Roma keshakwambia hawapo salama bado mnalazimisha aseme ukweli mbona sio waelewa nyie vichwa vya kuku.
Una akiri za kibashite Bashite Roma anasema hayupo salama wkt yupo na waziri Roma kuchukua USD 5000
 
Ww, unakazi ya kufanya,zaidi ya kushabikia wenzio kutekwa na ccm ? Umeona waandishi wanakazi baada ya mwakyembe kuvamia mkutano uco wake ilikudhibiti ukweli uctoke? Lazima kuna baya, lililomkuta Roma,hamtaki lijulikane.mmeona kutumia bastola km kwa nape ni ngumu,mmeona kumvamia km clauds ni ngumu ss,mmebadilisha mbinu ! Mwaki,hapo hakutakiwa.Roma anaumuhimu gani kwa ccm mpaka awe na wzr akiongea na wa andishi? Mbinu zenu zote ovu zimegundulika na mwisho haupo mbali.Mungu onekana ktk kila mbinu,inayokusudiwa na serikali ya ccm kukandamiza,kunyanganya haki,amani na Uhuru wa wananchi.kubwa sana Mungu,nakuomba llte ccm inalofanya,kugawa wananchi,kwa manufaa yao,wananchi waligundue na kulikataa,ili wawe wamoja na kuikataa/kuigopa km ukoma, na kuikimbia ccm Amen
Kama una taarifa nzuri zaidi ya ya Roma zitoe hata JF utaeleweka,kuliko kulalamika na kuisngizia CCM.
 
Una akiri za kibashite Bashite Roma anasema hayupo salama wkt yupo na waziri Roma kuchukua USD 5000

Ndio tatizo lenu Waswahili ukiambiwa utoe ushahidi utaishia kusema yule bint kasema.

muwe mnapiga kimya tu.
 
Wewe mwenye uelewa ungekuja na utambulisho wako halisi hapa.

Msalimie kaka yako Daudi.
Buku saba wewe
Ryan babel ndio id yangu halis na kilichoandikwa ni ukwel tupu

Kijani imekufunga huwezi elewa
 
Una akiri za kibashite Bashite Roma anasema hayupo salama wkt yupo na waziri Roma kuchukua USD 5000

acha blah blah za mtandaoni Roma hayupo sawa kisaikolojia usiombe hii kitu ikukute.

Roma sio wa kwanza kutekwa waliotangulia kutekwa hadi leo hii hawajawahi kusema ukweli.

madaraka yanatumika vibaya.
 
Back
Top Bottom