William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,416
............Kuhani tatizo lako ni kuwa........you don't think!..........unachukua kitu kizima kizima ....na kumeza..........sorry....im not here to baby sit any..........kwi kwi kwi kwi..................kusema kwangu "msanifu yeyote qualified angeweza kuwa consulted"..........haimaanishi taratibu husika zirukwe......nilichofanya ni kuongezea pale nilipoishia kuwa.........huwezi kukurupuka na ku-consult any qualified person........mambo kama hayo hayatakiwi kwenda kienyeji enyeji......and thats my point.........sasa kigumu kwako kuelewa ni kipi.........
...don't just jump onto my "nuktas".........na kumeza kitu kizima kizima......kwi kwi kwi kwi
Mkuu Ogah,
Respect mkuu, hapa tupo ukurasa mmoja mkuu, saafi sana.