RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!

Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!

Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
😳🙁🤔
Makubwa
 
Sio maarufu TU, kikawaida msiba ni WA watu wa karibu sana na aliyefariki. Sio kama KiTanzania, msiba mtu yeyote TU anakuja kadiri anavyojisikia na haulizwi kitu na mtu. Hapo usiwasahau wale wanaokuja ili kugonga chai, chakula cha mchana mpaka cha usiku kwenye misiba ambayo hata haiwahusu.
Yaani kiukweli sipendi hii kitu
Ndo maana maisha ya mbele nayaelewa mno
 
Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!

Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!

Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
Hiyo ni mwananyamala , Buguruni au Mbagala ,
 
KAULI TATA ALIYO TOA KWA PUBLIC ILIYO MFANYA AJULIKANEEE NI HIIIII






''SINA KINYONGO NA YULE BINTI ...NIMEMKOJOZA KWA MIAKA 15''

AFUUUU ILIKUWA KWENYE HARUSI

MARA GHAFLA DJ. AKALISONGESHAAAA..... THE NDINDIDIII ........THE NDINDINI









WAALIKWA WALILIPUKA KWA KICHEKO MPAKA MAMA MKWE NAE AKACHEKA HAHAHAHA HAHAHAHA EHEHEHE





REST IN PEACE......
Naomba ile video mdau
 
Binti mmoja wa pekee! Karen

Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.
Pole sana kwa msiba.
 
Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!

Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!

Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
Mkuu umeiweka vizuri. Mwanamke asipowekewa mipaka ni janga, hana uwezo wa kuchakata vizuri mambo
 
Dunia ya sasa imani kwa watu imepungua sana,watu hawana imani tena,
kwenye msiba ndio sehemu yakutafakari kua na wewe siku yako itafika utalala kama alivyolala huyo marehemu,
ni sehemu ya kutafakari matendo yako na maisha yako kwa ujumla,

Anyway katika haya maisha usitegemee huruma ya mtu,ishi maisha ya kumpendeza Mungu,usimdhulumu mtu,ishi maisha simple tu kadiri Mungu akakavyo kuzuruku.
 
Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!

Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!

Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
Hiyo ni akili ya mama na dada yako, bilashaka kosa ni la Baba yako kuangalia shape/sura kwa mama yako badala ya akili na hayo ndo matokeo yake. Usitumie mfano huo kuwahukumu wanawake wote maana wapo wanawake smart sana kichwani.
Wanaume tutumie akili wakati wa kuchagua mke maana huyo ndo atayeamua watoto wako waweje.
 
Hiyo ni akili ya mama na dada yako, bilashaka kosa ni la Baba yako kuangalia shape/sura kwa mama yako badala ya akili na hayo ndo matokeo yake. Usitumie mfano huo kuwahukumu wanawake wote maana wapo wanawake smart sana kichwani.
Wanaume tutumie akili wakati wa kuchagua mke maana huyo ndo atayeamua watoto wako waweje.
Hoja ya msingi ya mdau ni kuwa, mwanamke awe smart au la, anatakiwa kuongozwa, anatakiwa kusimamiwa.

Unaweza sema sasa mwanamke smart ataongizwaje na mwanaume mbulula?? Jibu ni kuwa - kama mwanamke ni smart bila shaka atachagua kuolewa na smarter, sasa hapo huyo smarter itatakiwe amsimamie na kumuongoza huyu smart. Lazima waongozwe
 
Back
Top Bottom