Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,690
- 68,695
Mbona kuna mwingine alimkubali sijui ilikuwajeDuuuh mbona hatari, afu mtoto c ndo yeye pekee?
Mbona kuna mwingine alimkubali sijui ilikuwajeDuuuh mbona hatari, afu mtoto c ndo yeye pekee?
Cna taarifa mbona.Mbona kuna mwingine alimkubali sijui ilikuwaje
😳🙁🤔Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!
Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!
Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
🤣Huna taarifaCna taarifa mbona.
Yaani kiukweli sipendi hii kituSio maarufu TU, kikawaida msiba ni WA watu wa karibu sana na aliyefariki. Sio kama KiTanzania, msiba mtu yeyote TU anakuja kadiri anavyojisikia na haulizwi kitu na mtu. Hapo usiwasahau wale wanaokuja ili kugonga chai, chakula cha mchana mpaka cha usiku kwenye misiba ambayo hata haiwahusu.
Hiyo ni mwananyamala , Buguruni au Mbagala ,Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!
Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!
Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
Naomba ile video mdauKAULI TATA ALIYO TOA KWA PUBLIC ILIYO MFANYA AJULIKANEEE NI HIIIII
''SINA KINYONGO NA YULE BINTI ...NIMEMKOJOZA KWA MIAKA 15''
AFUUUU ILIKUWA KWENYE HARUSI
MARA GHAFLA DJ. AKALISONGESHAAAA..... THE NDINDIDIII ........THE NDINDINI
WAALIKWA WALILIPUKA KWA KICHEKO MPAKA MAMA MKWE NAE AKACHEKA HAHAHAHA HAHAHAHA EHEHEHE
REST IN PEACE......
Pole sana kwa msiba.Binti mmoja wa pekee! Karen
Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.
Mkuu umeiweka vizuri. Mwanamke asipowekewa mipaka ni janga, hana uwezo wa kuchakata vizuri mamboWewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!
Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!
Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
cna habariiHuna taarifa
Inakupa picha halisi LEADERS wasasa walivyo.Hivi leaders hapo wanakaaje mbona maZingira yako ovyo
Uwanja/sehemu yenyewe haiboreshwi
Ova
Hili la kutomwekea mwanamke mipaka limenigharimu sana, umenena ukweli kabisa.Mkuu umeiweka vizuri. Mwanamke asipowekewa mipaka ni janga, hana uwezo wa kuchakata vizuri mambo
Hiyo ni akili ya mama na dada yako, bilashaka kosa ni la Baba yako kuangalia shape/sura kwa mama yako badala ya akili na hayo ndo matokeo yake. Usitumie mfano huo kuwahukumu wanawake wote maana wapo wanawake smart sana kichwani.Wewe, unasema wasanii, mzee wangu alipofariki, dada na mama wanabishania rangi za nguo za kuvaa pamoja na mapambo toka siku msiba unaanza mpaka unaisha (Kila siku na rangi yake)!
Mimi chakula hakipandi, mama, dada, mashoga full selfie! Mara kamera yako mbovu!
Ile siku ndiyo niligundua mwanamke hapaswi kupewa uhuru! Yaani anatakiwa aongozwe kwani kujiongoza hawawezi na hata akiongoza atatumia zaidi hisia kuliko akili!
Hoja ya msingi ya mdau ni kuwa, mwanamke awe smart au la, anatakiwa kuongozwa, anatakiwa kusimamiwa.Hiyo ni akili ya mama na dada yako, bilashaka kosa ni la Baba yako kuangalia shape/sura kwa mama yako badala ya akili na hayo ndo matokeo yake. Usitumie mfano huo kuwahukumu wanawake wote maana wapo wanawake smart sana kichwani.
Wanaume tutumie akili wakati wa kuchagua mke maana huyo ndo atayeamua watoto wako waweje.