Ridhiwani Kikwete: Fedha za maendeleo zinasuasua, serikali inasema Makusanyo hayajakaa vizuri

Akihojiwa na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi,toleo la tarehe 18/2/2017.

Ridhiwani anakiri kwamba kilio kikubwa cha wabunge ni kucheleweshwa (sema kutopelekwa) kwa fedha za maendeleo.

Anasema miradi mingi imekwama,na kwamba akiuliza serikali ni anaambiwa "MAKUSANYO HAYAJAKAA VIZURi"

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa serikali kutuambia hali ya makusanyo ya TRA na uwezo wa nchi kuhimili bills zake.

Hawa watu wamekuwa wakijigamba kwamba serikali ni tajiri na ina mahela mengi,huku pembeni wanawaambia wabunge kuwa hali ya makusanyo si nzuri.

Bora tuqmbiane mapema tujua kwamba mwaka huu hakuna kupanda madaraja,hakuna uhamisho,kodi zitaongezeka,na miradi ya maendeleo haitafanyika.

Zile barabara za maghorofa hakuna,badala yake inajengwa ya lusekelo,

Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa
mbona kipindi cha kikwete mambo yalikuwa yanaenda safi tu, si waombe ushauri jaamaa alikuwa anaendeshaje nchi? kwanini tumewapa hawa watu nchi?
 
FORM TWO MOCK EXAMINATION

Qn1. Boer Trek was movement of people?. Discuss.

Answer: Boer trek was the muvumentii ovuu awamu ya uchochezi from darisalameee to Dodoma. This muvument became diffikatee espeshalee when pombe pressurized the move while knowing there is no office for his people out there. The situation became diffikateee zaidi when the ministry of mikurupuko decided to join university of dodoma. Untill today we dontii know which degree are they pursuing at the university
 
Akihojiwa na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi,toleo la tarehe 18/2/2017.

Ridhiwani anakiri kwamba kilio kikubwa cha wabunge ni kucheleweshwa (sema kutopelekwa) kwa fedha za maendeleo.

Anasema miradi mingi imekwama,na kwamba akiuliza serikali ni anaambiwa "MAKUSANYO HAYAJAKAA VIZURi"

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa serikali kutuambia hali ya makusanyo ya TRA na uwezo wa nchi kuhimili bills zake.

Hawa watu wamekuwa wakijigamba kwamba serikali ni tajiri na ina mahela mengi,huku pembeni wanawaambia wabunge kuwa hali ya makusanyo si nzuri.

Bora tuqmbiane mapema tujua kwamba mwaka huu hakuna kupanda madaraja,hakuna uhamisho,kodi zitaongezeka,na miradi ya maendeleo haitafanyika.

Zile barabara za maghorofa hakuna,badala yake inajengwa ya lusekelo,

Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa
Hapa niyo mahala imefikia ............. liwalo na liwe tu!!
 
FORM TWO MOCK EXAMINATION

Qn1. Boer Trek was movement of people?. Discuss.

Answer: Boer trek was the muvumentii ovuu awamu ya uchochezi from darisalameee to Dodoma. This muvument became diffikatee espeshalee when pombe pressurized the move while knowing there is no office for his people out there. The situation became diffikateee zaidi when the ministry of mikurupuko decided to join university of dodoma. Untill today we dontii know which degree are they pursuing at the university
Hahahaaaa
 
Weeee mwana kwetu kaaa kimya hao hawajaribiwi.....hawasemwi wala kushaurika....watakuanzishia la kuzua iwe balaaa hapa!! Tuliaa mwana kwetu!!! Ukweli hausemwi wote awamu hii!!!
 
Akihojiwa na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi,toleo la tarehe 18/2/2017.

Ridhiwani anakiri kwamba kilio kikubwa cha wabunge ni kucheleweshwa (sema kutopelekwa) kwa fedha za maendeleo.

Anasema miradi mingi imekwama,na kwamba akiuliza serikali ni anaambiwa "MAKUSANYO HAYAJAKAA VIZURi"

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa serikali kutuambia hali ya makusanyo ya TRA na uwezo wa nchi kuhimili bills zake.

Hawa watu wamekuwa wakijigamba kwamba serikali ni tajiri na ina mahela mengi,huku pembeni wanawaambia wabunge kuwa hali ya makusanyo si nzuri.

Bora tuqmbiane mapema tujua kwamba mwaka huu hakuna kupanda madaraja,hakuna uhamisho,kodi zitaongezeka,na miradi ya maendeleo haitafanyika.

Zile barabara za maghorofa hakuna,badala yake inajengwa ya lusekelo,

Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa
anatafuta kuongezewa kesi ................ sirikali hii haitaki kukosolewa
 
FORM TWO MOCK EXAMINATION

Qn1. Boer Trek was movement of people?. Discuss.

Answer: Boer trek was the muvumentii ovuu awamu ya uchochezi from darisalameee to Dodoma. This muvument became diffikatee espeshalee when pombe pressurized the move while knowing there is no office for his people out there. The situation became diffikateee zaidi when the ministry of mikurupuko decided to join university of dodoma. Untill today we dontii know which degree are they pursuing at the university
 
Akihojiwa na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi,toleo la tarehe 18/2/2017.

Ridhiwani anakiri kwamba kilio kikubwa cha wabunge ni kucheleweshwa (sema kutopelekwa) kwa fedha za maendeleo.

Anasema miradi mingi imekwama,na kwamba akiuliza serikali ni anaambiwa "MAKUSANYO HAYAJAKAA VIZURi"

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa serikali kutuambia hali ya makusanyo ya TRA na uwezo wa nchi kuhimili bills zake.

Hawa watu wamekuwa wakijigamba kwamba serikali ni tajiri na ina mahela mengi,huku pembeni wanawaambia wabunge kuwa hali ya makusanyo si nzuri.

Bora tuqmbiane mapema tujua kwamba mwaka huu hakuna kupanda madaraja,hakuna uhamisho,kodi zitaongezeka,na miradi ya maendeleo haitafanyika.

Zile barabara za maghorofa hakuna,badala yake inajengwa ya lusekelo,

Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa
Bomba dia tutazinunuaje?
 
Kipindi cha kampeni Riz1 alimwomba aliyekuwa mgombea urais kupitia ... kuwahakikishia wananchi wa jimbo lake kwamba kama akiwa rais maji yatapatikana jimbo zima.

Yule mgombea akamuuliza, kama baba yako kawa Mbunge wa hili jimbo kwa miaka 10, then akawa Rais kwa miaka 10, wewe umekuwa mbunge kwa miaka kadhaa pia, sasa kama ninyi (wazawa) mmeshindwa mimi nitaweza vipi?
 
Kwann serikali isifunguke, kama suala la madaraja & madai ya watumishi kuwa hayapo!!? Ukimya huu una maana gn? Maana mwaka mwngne wa fedha unakarbia.
 
Back
Top Bottom