hamna lolote.. hamjui wasomi wengi hapa tanzania ndo wezi wa nchi hii.... balali, costa mahalu, mramba, yona, mgonja, kapuya, mahanga, mkapa, rostam, lowasa, ridhiwani kikwete.. sasa hata kama degree za ni halali mbona hawaitumikii nchi ipasavyo.. wanachotaka ni kujineemesha tu matumbo