National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,104
Na hakika mkuu, ukuaji wa Technology na hizi platform miaka ya nyuma ilikuwa changamoto sana , hata gharama ilikuwa juu.. internet.. hizo smartphone, ipad na laptop ukilinganisha na sasa hivi.. huwezi linganisha mazingira ya 2004 na 2013.. kuna shift kubwa sana2000-2016 una uhakika hayo unayoyasema hayakuwepo?