Reflection: Mahusiano, Mapenzi na Urafiki - Tunaelekea wapi?

hamna ninaemuelewa kwenye hii post....!
kuanzia ACID mpaka THE LAST BUT NOT LEAST POSTER wote naona mnafanya maisha magumu

1)-wengi wenu naona mnavikimbia vivuli vyenu

2)-kakaangu acid naona UNAZEEKA SASA,bora uhame tu urudi kwenu maswa

ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......

infidelity ni ''ukweli unaohuzunisha''
thanks Teamo... ujumbe umefika

niliyosema ni kwamba kuelimisha zaidi na si kusifia, tukimaliza infii tutahamia kubaka, tukimaliza kubaka tutasifia tunavyoibia mwajiri nk. yote hayo hufanyika ni mawazo yangu

mimi si msafi na sidhani kama ntakamilika, nimeamua tu kumfunga paka kengele

Maswa kweli ntarudi na hapa ntakua natembelea na infii ntasoma, ila cha maana ni kukubali kwamba tuna mawazo tofauti na kusema ondoka si sahihi

amen
 
thanks Teamo... ujumbe umefika

niliyosema ni kwamba kuelimisha zaidi na si kusifia, tukimaliza infii tutahamia kubaka, tukimaliza kubaka tutasifia tunavyoibia mwajiri nk. yote hayo hufanyika ni mawazo yangu

mimi si msafi na sidhani kama ntakamilika, nimeamua tu kumfunga paka kengele

Maswa kweli ntarudi na hapa ntakua natembelea na infii ntasoma, ila cha maana ni kukubali kwamba tuna mawazo tofauti na kusema ondoka si sahihi

amen

infidelity ni ''ukweli unaohuzunisha''
 
ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......
 
ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......
 
hamna ninaemuelewa kwenye hii post....!
kuanzia ACID mpaka THE LAST BUT NOT LEAST POSTER wote naona mnafanya maisha magumu

1)-wengi wenu naona mnavikimbia vivuli vyenu

2)-kakaangu acid naona UNAZEEKA SASA,bora uhame tu urudi kwenu maswa

ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......

infidelity ni ''ukweli unaohuzunisha''
hahaha homeboy bana naona umekuja na moto uleule! kwa kweli hata mie kwenye hii ishu ya infidelity mi sidhani kama tuna glorify bali ni kutoa mbinu mbadala ili maisha yaende!!
Pope Benedict mwenywe baada ya kuona ukimwi hauwezi kuzuiliwa kwa imani ile ile ya kutofanya mapenzi..ameruhusu matumizi ya condom!
 
Teamo na wengine,
Naomba kusema kuwa hapa hatuzungumzii ukamilifu wa mtu wala hatutaki kuhukumu kwa maana kama Mungu angehesabu makosa yetu hakuna hata mmoja angesimama!

Baada ya kusema hayo, napenda kuongezea kwamba, saikolojia ya binadamu iko namna ya ajabu sana na kwa wale wenye kujua kuhusu " JOHARI WINDOW" wanajua kuna mambo manne katika personality ya mtu -1. YALIYO BAYANA - haya ni yale ambayo wewe mhusika na walio karibu nawe wanayajua mfano jina lako, na yale unayoyaonyesha wazi kwa wengine.2.YASIYO WAZI KWAKO ( BLIND) haya ni yale ambayo wengine wanayoyajua kukuhusu lakini wewe huyajui!Mfano, body language yako wakati unaongea wewe huioni lakini wengine wanaiona kwa urahisi. 3.VILIVYOJIFICHA ( HIDDEN) hivi ni vile vitu ambavyo nyie wengine wote hamvijui kunihusu unless nikuamini sana niamue kukuambia.4. VISIVYOJULIKA ( UNKNOWN) hivi ni vitu ambavyo hata mimi sivijui japo vinanihusu na hata wewe au mtu mwingine havijui.

Kwenye 1. YALIYO BAYANA - Tunaweza kupanua wigo wake kama tunataka wengine wajue zaidi kutuhusu. Je MMU ina lenga nini katika haya? na je kama lengo ni kupanua 1. hapa ni mahali pake? bora tubakie kwenye 3. its safe that way maana hiyo trust among members sidhani ipo kivile na kama unataka ku hama from 3 to 1 ujue you are doing so at your own risk maana huyo/hao utakaowaaminisha watakuliza siku moja!

Nimeongea kisaikolojia zaidi lakini naamini wengi hapa ni waelewa.
 
so far ni kwamba WOTE MNAFANYA....!
MASWALI YANGU KWENU:

1)MBONA MNALIA LIA SANA?what is wrong with you guys?......

2)MBONA MNAPENDA KUJIDANGANYA?what is not happening with you guys?.....

3)MBONA MNAPINGANA NA UKWELI JUU YA MNAYOYAFANYA?what is not happening?

aisee ninyi watu hapo juu hebu zingatieni katiba hii hapa:

Zijue sheria ''mama' za infidelity...


1-INFIDELATORS wanatakiwa kugharamia kikao cha kwanza wanapokutana na infideletees wapya kwa asilimia 100

2-
INFIDELATORS/INFIDELETEES wanatakiwa kufanya wanaloliweza kuhakikisha hakuna leakage ya taarifa yoyote ya INFIDELITY juu yako kwenye familia zao(hasa hasa wake/waume zao waliowaacha nyumbani)

3-
INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

4-
INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kuwa na umri wa watu wazima(18+.....!hii ilikuwa sababu pekee ya kumtoa georgieporjie kwenye uanachama)

5-
INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima wawe wanapandisha mvinyo kwa wingi (unywaji wa valuu una ''added advantage'')

6-
INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

7-
KWAKUZINGATIA SHERIA NAMBA 7 TAJWA HAPO JUU-infidelators watakaoingia kwenye NEC ni wale waliooa/olewa tu!wengine hao wanakuwa members tu kwasababu tunawajali sana zaidi ya hapo HAWANA KURA YA VETO

8-
INFIDELATORS/INFIDELETEES watahakikisha wanapigana kufa na kupona kuzilinda na kuzitetea ndoa za infidelators/infideletees wenzao!(ndoa na iheshimiwe na watu wote).naomba hii sheria muiangalie kwa umakini mkuu!hakikisha kufa kupona unafanya unaloweza kuhakikisha ndoa ya mwanachama haitetereki.

9-
INFIDELITY itafanyika NYUMBA ZA KULALA WAGENI TU!....tena itafanyika kilometa kadhaa kutoka maeneo yako ya nyumbani(otherwise unatakiwa uproove kwamba mkeo/mumeo kasafiri umbali usio pungua kilometa mia saba kutoka nyumbani kwenu).

10-
INFIDELITY KAMWE HAIFANYIKI USIKU KUCHA-fanya unalofanya lakini make sure umerudi nyumbani kwa waif/husband.ukilifanya hili utakuwa umeheshimu na kuitekeleza sheria namba 7 na namba 9 tajwa hapo juu

11-
INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!

12-
INFIDELATORS/INFIDELETEES wanalazimika(kwa hali na mali) kuwa na simu zaidi ya moja...!hasa hasa wanapaswa kuwa na simu moja HOT-LINE itakayokuwa fixed ofisini au eneo lako la kazi.Simu hiyo itatumika kwa ajili ya taratibu zote za infidelity(hapa ni mambo ya promises,appointments na kujuliana hali).kwa kufanya hivyo sheria tajwa namba 8 itakuwa inatekelezeka.

13-
INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kulindana,kutunziana heshima,kutunziana siri.ni marufuku kuzianika taarifa za infidelator/infideletee kwenye chombo chochote kile cha habari au mitandao.

ngoja nikimbie gesti hapo msasani nika-du ze nidiful then nitarudi!


kwa anaetaka katiba ya ''infidelity'' au kadi ya uanachama anipiemu tu......
 
hamna ninaemuelewa kwenye hii post....!
kuanzia ACID mpaka THE LAST BUT NOT LEAST POSTER wote naona mnafanya maisha magumu

1)-wengi wenu naona mnavikimbia vivuli vyenu

2)-kakaangu acid naona UNAZEEKA SASA,bora uhame tu urudi kwenu maswa

ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......

infidelity ni ''ukweli unaohuzunisha''

Hapo kwenye bold,unfortunately you are right.
Lakini is it right for us to glorify infidelity?
 
Teamo na wengine,
Naomba kusema kuwa hapa hatuzungumzii ukamilifu wa mtu wala hatutaki kuhukumu kwa maana kama Mungu angehesabu makosa yetu hakuna hata mmoja angesimama!

Baada ya kusema hayo, napenda kuongezea kwamba, saikolojia ya binadamu iko namna ya ajabu sana na kwa wale wenye kujua kuhusu " JOHARI WINDOW" wanajua kuna mambo manne katika personality ya mtu -1. YALIYO BAYANA - haya ni yale ambayo wewe mhusika na walio karibu nawe wanayajua mfano jina lako, na yale unayoyaonyesha wazi kwa wengine.2.YASIYO WAZI KWAKO ( BLIND) haya ni yale ambayo wengine wanayoyajua kukuhusu lakini wewe huyajui!Mfano, body language yako wakati unaongea wewe huioni lakini wengine wanaiona kwa urahisi. 3.VILIVYOJIFICHA ( HIDDEN) hivi ni vile vitu ambavyo nyie wengine wote hamvijui kunihusu unless nikuamini sana niamue kukuambia.4. VISIVYOJULIKA ( UNKNOWN) hivi ni vitu ambavyo hata mimi sivijui japo vinanihusu na hata wewe au mtu mwingine havijui.

Kwenye 1. YALIYO BAYANA - Tunaweza kupanua wigo wake kama tunataka wengine wajue zaidi kutuhusu. Je MMU ina lenga nini katika haya? na je kama lengo ni kupanua 1. hapa ni mahali pake? bora tubakie kwenye 3. its safe that way maana hiyo trust among members sidhani ipo kivile na kama unataka ku hama from 3 to 1 ujue you are doing so at your own risk maana huyo/hao utakaowaaminisha watakuliza siku moja!

Nimeongea kisaikolojia zaidi lakini naamini wengi hapa ni waelewa.
kwa hiyo kama unakomply na hiyo namba 3 ?
 
hamna ninaemuelewa kwenye hii post....!
kuanzia ACID mpaka THE LAST BUT NOT LEAST POSTER wote naona mnafanya maisha magumu

1)-wengi wenu naona mnavikimbia vivuli vyenu

2)-kakaangu acid naona UNAZEEKA SASA,bora uhame tu urudi kwenu maswa

ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......

infidelity ni ''ukweli unaohuzunisha''

We dogo unataka kuhamishwa meza?
 
kwa hiyo kama unakomply na hiyo namba 3 ?

SIko kwenye X-mination hapa..im simply sharing my views using a tested model!
As for window 3. ushauri wa bure : StIck with it and comply with JF rules... huhitaji kumwaga mtama mbele ya kuku wengi hadharani. Keep it to yourself au hamia jukwaa la mambo ya kikubwa! Thats the point im trying to drive home kuunga mkono hoja ya ACID.
 
Hapo kwenye bold,unfortunately you are right.
Lakini is it right for us to glorify infidelity?
NOBODY GLORIFIES IT!that is the other way of potraying the AWARENESS!sasa akili kichwani mwako....

HALAFU MWANA MAMA SAMAHANI KIDOGO,INAKUWAJE KWAMBA THE BOLDED FACT IS DAMN RIGHT,YOU PEOPLE ARE DOING IT BUT YOU DON'T WANT TO HEAR IT.....WHAT'S THE USE?
 
StIck with it and comply with JF rules... huhitaji kumwaga mtama mbele ya kuku wengi hadharani. Keep it to yourself au hamia jukwaa la mambo ya kikubwa! Thats the point im trying to drive home kuunga mkono hoja ya ACID.
which rules are we ordered to comply herewith....?
 
Mkuu uko sahihi kabisa, ila nilicholeta ni mfano tena wa tafsida haswaa, kwani mengine huishia kuripoti kwa mods kuhamisha ndugu yangu

Nani atasahau ya fidel na Masa na mambo ya zenji? lakini yalikua na tafsida yake ati, raha tupu... mie langu hapa ni angalizo tu kwani hata mimi hutoa hayohayo

Huwezi uza utumbo ati weye usinuke, mie pia muuza utumbo na addicted kweli ndani ya MMU, nafanya hayohayo...

THANKS BUDDY

Ahsante sana Acid,

Ni kweli kuna vitu vingine vinaongelewa hapa na havina tija. Vitu vingi vya namna hiyo navichukulia kama mzaha...and my life goes on happly!

Binafsi naamini kuwa JF ni uwanja wenye kila aina ya binadamu na hatuwezi kamwe kuishi kama tuko kwenye msiba na pia hatuwezi kuwa kama tuko kwenye party kila siku. Huwa najipa nafasi ya kuamua nini nisome na kuchangia kwa raha zangu ili mradi nisiwakwaze wengine!

Bado sijaona tatizo kuubwa sana hapa MMU ambalo linalohitaji kongamano la kitaifa kulijadili. Na hayo mambo madogo madogo huwa tunaelekezana mumo kwa mumo. Napenda sana kukubali kwamba watu tunatofautiana sana, kiasi kwamba chakula cha mtu fulani inaweza kuwa kwangu ni sumu!

DC
 
Ahsante sana Acid,

Ni kweli kuna vitu vingine vinaongelewa hapa na havina tija. Vitu vingi vya namna hiyo navichukulia kama mzaha...and my life goes on happly!

Binafsi naamini kuwa JF ni uwanja wenye kila aina ya binadamu na hatuwezi kamwe kuishi kama tuko kwenye msiba na pia hatuwezi kuwa kama tuko kwenye party kila siku. Huwa najipa nafasi ya kuamua nini nisome na kuchangia kwa raha zangu ili mradi nisiwakwaze wengine!

Bado sijaona tatizo kuubwa sana hapa MMU ambalo linalohitaji kongamano la kitaifa kulijadili. Na hayo mambo madogo madogo huwa tunaelekezana mumo kwa mumo. Napenda sana kukubali kwamba watu tunatofautiana sana, kiasi kwamba chakula cha mtu fulani inaweza kuwa kwangu ni sumu!

DC

Babu mwenzangu umeongea neno moja kuu. sENKSI!
 
NOBODY GLORIFIES IT!that is the other way of potraying the AWARENESS!sasa akili kichwani mwako....

HALAFU MWANA MAMA SAMAHANI KIDOGO,INAKUWAJE KWAMBA THE BOLDED FACT IS DAMN RIGHT,YOU PEOPLE ARE DOING IT BUT YOU DON'T WANT TO HEAR IT.....WHAT'S THE USE?

Infidelity inafanyika sana tu na kila anayeshiriki anajua kuwa sio kitendo sahihi na ndio maana zipo hadi rules za kuavoid kushikwa.
Kwa nini mtu uogope kushikwa? Its because you are doing the wrong thing. Infidelity has never been a blessed act na ndio maana sio proper to discuss it publicly.
 
which rules are we ordered to comply herewith....?
Ndugu,
1. Nobody is ordering anybody - its just a social influence or persuasion if u want.

2. JF on the other hand ina rules zake na nadhani Silencer ( one of the moderators) katika kuzungumzia exactly the same issue kama hii ya Acid alinukuu tena hizi kanuni.You might wish to look for the thread maana niko tight kidogo ningekutafutia. You can look at threads initiated by Silencer utaona.
 
Infidelity inafanyika sana tu na kila anayeshiriki anajua kuwa sio kitendo sahihi na ndio maana zipo hadi rules za kuavoid kushikwa.

Kwa nini mtu uogope kushikwa? Its because you are doing the wrong thing. Infidelity has never been a blessed act na ndio maana sio proper to discuss it publicly.
Kwa nini mtu uogope KUIDISCUSS PUBLIC?

MBONA UFISADI UNADISKASIWA PABLIC?is that a WRONG/GOOD THING?
 
Ndugu,
1. Nobody is ordering anybody - its just a social influence or persuasion if u want.

2. JF on the other hand ina rules zake na nadhani Silencer ( one of the moderators) katika kuzungumzia exactly the same issue kama hii ya Acid alinukuu tena hizi kanuni.You might wish to look for the thread maana niko tight kidogo ningekutafutia. You can look at threads initiated by Silencer utaona.
bado sijaona rule inayozungumzia ulichokiandika!mbado kabisa ona
 
Back
Top Bottom